Tazama mazishi ya watu waliouawa kwenye mapigano DRC, inasikitisha

Tazama mazishi ya watu waliouawa kwenye mapigano DRC, inasikitisha

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607

View: https://www.youtube.com/watch?v=IAOGxEEoKKQ


Wahudumu wa Afya wakiendelea na shughuli ya mazishi ya watu waliouawa wakati wa mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yaliyohusisha jeshi la nchi hiyo na Wapiganaji wa Kundi la M23.

Mkuu wa ujumbe mdogo wa Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu Mashariki mwa DRC, Miriam Favier amesema kuna hitaji la dharura la kuizika miili hiyo, kwani vyumba vingi vya kuhifadhia maiti vipo hospitali, na hii inaonesha kuna hatari ya kuzuka kwa magonjwa ya mlipuko.

Source: AFP, Al Jazeera
 
Tazama mazishi ya watu waliouawa kwenye mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yaliyohusisha jeshi la nchi hiyo na wapiganaji wa M23.

Soma: Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Kwenye mahojiano na AFP mkuu wa ujumbe mdogo wa shirika la kimataifa la msalaba mwekundu Mashariki mwa DRC Miriam Favier amesema kuna hitaji la dharura la kuizika miili hiyo, kwani vyumba vingi vya kuhifadhia maiti vipo hospitali, na hii inaonesha kuna hatari ya kuzuka kwa magonjwa ya mlipuko.

 
Aisee ,maisha haya watu wanatupiwa tu kwenye mashimo ya futi nne, bora wangechukua kata pila piga moja nzuri weka wote mana ni halaiki hiyo
 

Wahudumu wa Afya wakiendelea na shughuli ya mazishi ya watu waliouawa wakati wa mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yaliyohusisha jeshi la nchi hiyo na Wapiganaji wa Kundi la M23.

Mkuu wa ujumbe mdogo wa Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu Mashariki mwa DRC, Miriam Favier amesema kuna hitaji la dharura la kuizika miili hiyo, kwani vyumba vingi vya kuhifadhia maiti vipo hospitali, na hii inaonesha kuna hatari ya kuzuka kwa magonjwa ya mlipuko.

Source: AFP, Al Jazeera

Kwanini usingeangalia peke Yako? Hebu acha uchawi
 
... kuna mijitu inachekelea tunavyomalizana, kabla haijahamia rasmi Africa!
MUDA UKIFIKA HATA VIBARAKA HAWATAAMINI MACHO YAO, NA WATAKUWA WAMEISHAKULA WALICHOLIPWA!
 
Ebola iliua zaidi ya hao Congo sijui ni kwanini majanga hayaishi Kongo?!
 
Eti YouTube inalipa!!
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kuna mjinga yeye hajali kuua watu anachojali ni kuiba madini tu! Na kwa vile kuna wajinga wenzake wamejazana mitandaoni na kazi yao ni kumsifia tu eti ana akili sana basi yeye bichwa ndiyo linazidi kuwa kubwa! Ingekuwa vyema akienda kule Popo republic wamalizane naye tu.
 
Hayo yote yamesababishwa na mwiz mmoja na tamaa zake za kuiba madini ya Congo
 
Aisee ,maisha haya watu wanatupiwa tu kwenye mashimo ya futi nne, bora wangechukua kata pila piga moja nzuri weka wote mana ni halaiki hiyo
Futi one umeziona wapi ....hizo cm Tatu mkuu.
 
Kagame na Mseveni wanachelelea.
Wametimiza malengo yao.
 
Alafu kuna jamaa mmoja anasema, njoo muwekeze na kufungua ofisi goma
 
Back
Top Bottom