Tazama Mwanaume wa mkoani akiibiwa Kariakoo

Sisi wanaume wa dar huwa hatuibiwi kizembe namna iyo...Jamaa naona wanamuelekeza njia ya kariakoo shimoni ili akawadithie sagulamagobe kuwa na yeye kashafika shimoni,

Akitoka hapo ataenda na kupiga picha pale darajani manzese
 
Sisi wanaume wa dar huwa hatuibiwi kizembe namna iyo...Jamaa naona wanamuelekeza njia ya kariakoo shimoni ili akawadithie sagulamagobe kuwa na yeye kashafika shimoni,

Akitoka hapo ataenda na kupiga picha pale darajani manzese
Haha subiri wakusikie wenyewe
 

Na huyo Jamaa aliyeingizwa mjini hapo kwa Kuibiwa najua tu lazima atakuwa ni Mhaya au Muha au Mnyiramba na Mnyaturu au Mrangi kwani ndiyo Watu wanaoongoza kwa ' ushamba / umbwigira ' Tanzania nzima. Huwezi hata siku moja kukuta Mtu wa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) ama anaibiwa au anatapeliwa ' Kizembe ' hivyo na Kwanza sijui utaanzia wapi.
 
Hahahahaahhaaaaaa eti mwanaume wa mkoani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh!
Hatari sana, Dar noumer. Kumbe hii ndio ile teknik unanunua simu unafika home uko na kipande cha sabuni unaanza singizia uchawi.
Ila huwezi jua, ukute jamaa nae kawapa hela feki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…