Karne JF-Expert Member Joined Jun 13, 2016 Posts 8,118 Reaction score 13,547 Mar 6, 2025 #21 Wapi RC wa Njombe! Hizi hekaheka za Mako huwa zinamuumiza huyo Dingi mara "ooh sisi hatuna tu kamera kama wao ila tunapiga kazi."
Wapi RC wa Njombe! Hizi hekaheka za Mako huwa zinamuumiza huyo Dingi mara "ooh sisi hatuna tu kamera kama wao ila tunapiga kazi."
W WALOLA VUNZYA JF-Expert Member Joined Nov 20, 2020 Posts 7,154 Reaction score 7,155 Mar 6, 2025 #22 Waufukweni said: Kuelekea siku ya Wanawake Duniani tarehe 8 mwezi wa tatu itakayofanyika kitaifa mkoani Arusha, leo wakazi wa mkoa huo wamefurika nje ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda kwa ajili ya kufanya Mazoezi ya Yoga. View attachment 3261052 Pia, Soma Makonda aingia Mtaani usiku Kuuza Uji shamrashamra kuelekea siku ya Wanawake CCM Arusha yapinga Madiwani kumpigia Debe Makonda, yatoa Onyo kali Click to expand... Huyo ndiye aliyestahili kuwa Waziri wa Michezo na si Professor Kabudi.
Waufukweni said: Kuelekea siku ya Wanawake Duniani tarehe 8 mwezi wa tatu itakayofanyika kitaifa mkoani Arusha, leo wakazi wa mkoa huo wamefurika nje ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda kwa ajili ya kufanya Mazoezi ya Yoga. View attachment 3261052 Pia, Soma Makonda aingia Mtaani usiku Kuuza Uji shamrashamra kuelekea siku ya Wanawake CCM Arusha yapinga Madiwani kumpigia Debe Makonda, yatoa Onyo kali Click to expand... Huyo ndiye aliyestahili kuwa Waziri wa Michezo na si Professor Kabudi.