wenye vitambi na vipara....wapo mbona!hivi kweli kuna wanaume wapo kama hivo au wanapakaziwa tu?
Sasa mbona unakiogopa?hapana aisee...baki nacho tu[emoji22]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] hongera baba..Mimi hapa mmoja wapo
heheehee hata nawe pia unacho?wenye vitambi na vipara....wapo mbona!
skiogopiiSasa mbona unakiogopa?
Hahaha [emoji125] [emoji125]Umetisha hasa 4(i) hasa kwenye faida ,,,kumbe hogo ni ziada tu!!
ndio, ila mimi nina kipara tu kitambi sina.heheehee hata nawe pia unacho?
Umeona eeHahaha [emoji125] [emoji125]
Ooh sawaAkili kubwazzz
Yule jamaa Bonge mwenye kibamia anaishi Dar anaitwa nani vile?
Atakua lemutuz uyu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Dah watu mna dhambi.
"Pale unapofika mbiguni na unakuta pia kuua mbu ni dhambi kubwa " ndo pozi utakalo weka hilo
Lazima bado utakuwa mwanafunzi wallah1. Horizontal Photograph
2. Tropical rain forest
3. Coffee, Cocoa and Banana.
4. (i)Kiba100, madhara yake hakifai kuungwa kwenye mchuzi. Faida ukigegedea unazalisha kama kawa kama mwenye hogo.
(ii) Kitambi, madhara yake kinafanya usiwe flexible. Faida kinakufanya uonekane Don.
(iii) Majani mengi, madhara yake yanakufanya usiyaone mazingira ya mbali hivyo kukufanya iwe rahisi kushambuliwa na adui. Faida yanakukinga na jua na mvua.
Na mm kanikumbusha pia, kule kwa man fizzo mchikichiniMkuu,umenikumbusha mambo ya 'map reading and photograph interpretation'
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Babu nimeshaua bach mwaka wa tatu sasa nipo mtaani sina ajira. Kama upo kitengo fanya fekeche dingii angalau na mimi ni make kimango asee.Lazima bado utakuwa mwanafunzi wallah
Bach ya nini kiongozi?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Babu nimeshaua bach mwaka wa tatu sasa nipo mtaani sina ajira. Kama upo kitengo fanya fekeche dingii angalau na mimi ni make kimango asee.
Naomba nisiiseme hapa kiongozi. Labda kama unaniruhusu niku PMBach ya nini kiongozi?
Haya maswali wale waliokimbia physical geography walikuwa wakiyapenda saaana1. Hii ni picha ya aina gani?
2. Eleza aina ya hali ya hewa ya eneo hili?
3. Taja mazao matatu yanayoweza kulimwa kwenye ukanda wenye iyo hali ya hewa?
4. Jadili vitu vitatu unavyoviona kwenye picha hii, ukielezea umuhimu na madhara yake.
MUDA: Masaa MatatuView attachment 859313