Tazama picha ya nyumba ya Obama

Tazama picha ya nyumba ya Obama

ukiangalia kwa mapana ni sahihi kuwafanyia havi marais wetu. hii inawasiadia kuwaondolea stress baada ya ku staafu wanakuwa watulivu wanapokuwa madarakani. unapo staafu pressure ya watoto, ndugu ni vyema serikali kuwahakikishia maisha mazuri mpaka kifo chao. bila hivyo wataiba sana ili kujindaa na ku stafu
Hawataiba tu ila hawatatoka madarakani pia. Wastaafu wa Jeshi vyeo vya juu na maraisi wapewe malezi mazuri.
 
ukiangalia kwa mapana ni sahihi kuwafanyia havi marais wetu. hii inawasiadia kuwaondolea stress baada ya ku staafu wanakuwa watulivu wanapokuwa madarakani. unapo staafu pressure ya watoto, ndugu ni vyema serikali kuwahakikishia maisha mazuri mpaka kifo chao. bila hivyo wataiba sana ili kujindaa na ku stafu
Kwani waliacha kuiba lin?
 
Na hajajengewa na mtu, huku Kwetu Rais anamshahara mkubwa na maruputupu kibao na hata akistaafu analipwa na bado tunamzawadia mpaka mwisho wake, kweli ngozi zetu hizi nyeusi zinalaana.
Watumie mishahara yao kujitegemea kumbuka kila kitu anafanyiwa hakuna anachonunua hata sindano, wawaonee huruma wanyonge. Hizi ndio sheria za kuondoa, au asilipwe mshahara atutegemee kwa kila kitu.

Hivi kwa mshahara wake anashindwa kuendesha maisha yake binafsi? hata kununua handkerchief?
 
Hii nyumba yake nyingine kainunua hajajengewa na Serikali anaishi hapo kisiwani (Martha vineyard) Kuna hali ya hewa Safi imezungukwa na bustani Ina vyumba 7 kila chumba na bafu lake, hekari jumla zipo 29.

Mara nyingi walikuwa wakienda majira ya summer kutembelea na mke wake kipindi bado wako white house.Hata bill na Hillary cliton nyumba Yao ipo maeneo Kama hayo tulivu.

Nyumba hii ya Obama ilijengwa 2001 na Obama aliipangisha 2019...2015 thamani yake ilikuwa $22.5m...na hapo thamani yake imepungua maana imejengwa kwa $44.5m ina garage Ina kila kitu mpk pool la kuzunguka na boat.

Mwaka 2021 Mimi ndege John nilipata nafasi ya kuitembelea nyumba hii katika mtandao.

View attachment 1779440View attachment 1779442
Watu kama hawa hawHitajiki kuingia tena peponi maana wameshakula starehe zote za kidunia. [emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona haina fence? Anyways kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanasiasa wa Kitanzania (either CCM or Mpinzani, wote hawa wapo kwa masilahi yao binafsi kwanza kabla ya taifa) na Mmarekani.
Sheria za wenzetu haziruhusu fence. Na hasa nyumba kama hiyo ambayo haina majirani.

Mji wa Dodoma wameiga hiyo style. Isipokuwa kwa Dodoma mwisho wa fence kwa upande wa jirani yako ni mita 2 na upande wa barabara unaweka see through fence.

Kama huamini tizama movies zote za marekani uone nani kaweka fence. Sana sana upande wa jirani wameweka partions za mbao.

Hii style ni salama zaidi kuliko kuweka fence kwa sababu hata ukiwa na magari ya wizi yataonekana.

Kuna mji mmoja marakani ambapo meya ameagiza garage doors kwenye nyumba ziwe wazi mchana ili kuona nini kilicho ndani.
 
Back
Top Bottom