Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka huyu jamaa Ni mjaluo tokea Kogelo, KEWatu wanaishi asee...
Hawawezi kutuelewa mwanangu daah acha nipige gia tu.
Hawataiba tu ila hawatatoka madarakani pia. Wastaafu wa Jeshi vyeo vya juu na maraisi wapewe malezi mazuri.ukiangalia kwa mapana ni sahihi kuwafanyia havi marais wetu. hii inawasiadia kuwaondolea stress baada ya ku staafu wanakuwa watulivu wanapokuwa madarakani. unapo staafu pressure ya watoto, ndugu ni vyema serikali kuwahakikishia maisha mazuri mpaka kifo chao. bila hivyo wataiba sana ili kujindaa na ku stafu
Mbona inasound kama frame(goli)?Mimi nikifanikiwa kujenga ghetto la chumba kimoja na choo self contained mambo yatakuwa mzuka sanaš
Kwani waliacha kuiba lin?ukiangalia kwa mapana ni sahihi kuwafanyia havi marais wetu. hii inawasiadia kuwaondolea stress baada ya ku staafu wanakuwa watulivu wanapokuwa madarakani. unapo staafu pressure ya watoto, ndugu ni vyema serikali kuwahakikishia maisha mazuri mpaka kifo chao. bila hivyo wataiba sana ili kujindaa na ku stafu
Kwani waliacha kuiba lin?
Heka 29 utaweka fensi gani?Mbona haina fence? Anyways kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanasiasa wa Kitanzania (either CCM or Mpinzani, wote hawa wapo kwa masilahi yao binafsi kwanza kabla ya taifa) na Mmarekani.
Watumie mishahara yao kujitegemea kumbuka kila kitu anafanyiwa hakuna anachonunua hata sindano, wawaonee huruma wanyonge. Hizi ndio sheria za kuondoa, au asilipwe mshahara atutegemee kwa kila kitu.Na hajajengewa na mtu, huku Kwetu Rais anamshahara mkubwa na maruputupu kibao na hata akistaafu analipwa na bado tunamzawadia mpaka mwisho wake, kweli ngozi zetu hizi nyeusi zinalaana.
Ngona na mimi niwe mjaluo...Kumbuka huyu jamaa Ni mjaluo tokea Kogelo, KE
Kitanda simple.Mimi nikifanikiwa kujenga ghetto la chumba kimoja na choo self contained mambo yatakuwa mzuka sanaš
Haya maneno yanachoma sanaUkisikia aliye nacho ataongezewa na asiyekuwa nacho hata kile kidogo atanyang'anywa ndiyo hii!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Fence kwa ajili ya Nini Jombaa??Mbona haina fence? Anyways kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanasiasa wa Kitanzania (either CCM or Mpinzani, wote hawa wapo kwa masilahi yao binafsi kwanza kabla ya taifa) na Mmarekani.
Uko vizuri MkuuNa Mie nashukuru mwaka 2021 nimebahatika kuitembelea kupitia JF.
Watu kama hawa hawHitajiki kuingia tena peponi maana wameshakula starehe zote za kidunia. [emoji38][emoji38][emoji38]Hii nyumba yake nyingine kainunua hajajengewa na Serikali anaishi hapo kisiwani (Martha vineyard) Kuna hali ya hewa Safi imezungukwa na bustani Ina vyumba 7 kila chumba na bafu lake, hekari jumla zipo 29.
Mara nyingi walikuwa wakienda majira ya summer kutembelea na mke wake kipindi bado wako white house.Hata bill na Hillary cliton nyumba Yao ipo maeneo Kama hayo tulivu.
Nyumba hii ya Obama ilijengwa 2001 na Obama aliipangisha 2019...2015 thamani yake ilikuwa $22.5m...na hapo thamani yake imepungua maana imejengwa kwa $44.5m ina garage Ina kila kitu mpk pool la kuzunguka na boat.
Mwaka 2021 Mimi ndege John nilipata nafasi ya kuitembelea nyumba hii katika mtandao.
View attachment 1779440View attachment 1779442
Ulinzi na usalama jombaaFence kwa ajili ya Nini Jombaa??
Hakuna neno EKARI Mzee.. ni HEKARI au Hectare.Sasa HEKARI ndiyo nini? Kwenye vipimo vya maeneo sijawahi kuona neno HEKARI bali najua neno EKARI.
Sheria za wenzetu haziruhusu fence. Na hasa nyumba kama hiyo ambayo haina majirani.Mbona haina fence? Anyways kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanasiasa wa Kitanzania (either CCM or Mpinzani, wote hawa wapo kwa masilahi yao binafsi kwanza kabla ya taifa) na Mmarekani.
Jamaa bila shaka utakuwa mhaya,dunia ya Sasa bado unasumbuka na Mambo madogo madogo.Sasa HEKARI ndiyo nini? Kwenye vipimo vya maeneo sijawahi kuona neno HEKARI bali najua neno EKARI.