Wenzetu nyaya wanapitisha chiniHawa wenzetu sijui watumia mfumo gani kusambaza umeme.
Mtu yupo pembezoni mwa mji lakini sioni mi nyaya ya umeme.
Eti inakuaje hapa wataalam?
Warren buffet je [emoji23][emoji23]Kweli watu wanatofautiana kwa maamuzi
Jimmy Carter yeye hana makubwa kabisa na mpaka sasa anaishi kwenye nyumba yake yenye thamani ya $167,000
Yaani mtambo unaomlinda mbele ya nyumba yake una thamani zaidi ya nyumba
Maisha haya
Mtambo gani mkuu? Tupia uhondo!Kweli watu wanatofautiana kwa maamuzi
Jimmy Carter yeye hana makubwa kabisa na mpaka sasa anaishi kwenye nyumba yake yenye thamani ya $167,000
Yaani mtambo unaomlinda mbele ya nyumba yake una thamani zaidi ya nyumba
Maisha haya
Aisee ile mandhari ya Mwandosya ni babu kubwa, hao watu ndio walifanya kazi wakastaafu bana.Tupia ile ya mwandosya..nliyapenda sana mandhari
Ova
Anakula asilimia 80 ya Rais aliyemadarakani, halafu kuna watu wanapiga makofi wakiambiwa gavamenti ya wanyongeNa hajajengewa na mtu, huku Kwetu Rais anamshahara mkubwa na maruputupu kibao na hata akistaafu analipwa na bado tunamzawadia mpaka mwisho wake, kweli ngozi zetu hizi nyeusi zinalaana.
Mtambo gani mkuu? Tupia uhondo!
Warren buffet je [emoji23][emoji23]
Ova
sawa mhaya nmekuelewa.Nadhani umesoma ngumbaro, nadhani ndiye nyie mnaopiga kelele za ajira! Sasa kama hata neno EKARI linaitwa HEKARI hiyo ni balaa!
Tutumie basi na ya mstaafu JK ya kule Msoga tulinganishe .Hii nyumba yake nyingine kainunua hajajengewa na Serikali anaishi hapo kisiwani (Martha vineyard) Kuna hali ya hewa Safi imezungukwa na bustani Ina vyumba 7 kila chumba na bafu lake, hekari jumla zipo 29.
Mara nyingi walikuwa wakienda majira ya summer kutembelea na mke wake kipindi bado wako white house.Hata bill na Hillary cliton nyumba Yao ipo maeneo Kama hayo tulivu.
Nyumba hii ya Obama ilijengwa 2001 na Obama aliipangisha 2019...2015 thamani yake ilikuwa $22.5m...na hapo thamani yake imepungua maana imejengwa kwa $44.5m ina garage Ina kila kitu mpk pool la kuzunguka na boat.
Mwaka 2021 Mimi ndege John nilipata nafasi ya kuitembelea nyumba hii katika mtandao.
View attachment 1779440View attachment 1779442
Na wakitokea tu lazima wajulikane na kuchimbiwa makabuli kwa lazimaHuko wasiojulikana hawapo
Wall fence huwa hakuna na zaidi labda fence fupi(kama usawa wa magoti) za mbao au maua kwa ajili ya kuonyesha mipaka, kama una wasiwasi na eneo(neighborhood) huwa kuweka CCTV cameras around the house na hata ndani.Sheria za wenzetu haziruhusu fence. Na hasa nyumba kama hiyo ambayo haina majirani.
Mji wa Dodoma wameiga hiyo style. Isipokuwa kwa Dodoma mwisho wa fence kwa upande wa jirani yako ni mita 2 na upande wa barabara unaweka see through fence.
Kama huamini tizama movies zote za marekani uone nani kaweka fence. Sana sana upande wa jirani wameweka partions za mbao.
Hii style ni salama zaidi kuliko kuweka fence kwa sababu hata ukiwa na magari ya wizi yataonekana.
Kuna mji mmoja marakani ambapo meya ameagiza garage doors kwenye nyumba ziwe wazi mchana ili kuona nini kilicho ndani.
Mbona haina fence? Anyways kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanasiasa wa Kitanzania (either CCM or Mpinzani, wote hawa wapo kwa masilahi yao binafsi kwanza kabla ya taifa) na Mmarekani.
Tupia ile ya mwandosya..nliyapenda sana mandhari
Ova
Mbona haina fence? Anyways kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanasiasa wa Kitanzania (either CCM or Mpinzani, wote hawa wapo kwa masilahi yao binafsi kwanza kabla ya taifa) na Mmarekani.
Ukiangalia kwa mapana ni sahihi kuwafanyia havi marais wetu. hii inawasiadia kuwaondolea stress baada ya ku staafu wanakuwa watulivu wanapokuwa madarakani. unapo staafu pressure ya watoto, ndugu ni vyema serikali kuwahakikishia maisha mazuri mpaka kifo chao. bila hivyo wataiba sana ili kujindaa na ku stafu