Tazama shangwe la Wakazi wa Handeni baada ya kupokea wageni

Tazama shangwe la Wakazi wa Handeni baada ya kupokea wageni

Monica Mgeni

Member
Joined
Oct 7, 2021
Posts
82
Reaction score
134
Wakazi wa Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga wameonesha kufurahia ujio wa wageni waliohamiawilayani humo kutokea Ngorongoro. Pamoja na kutaja faida kadhaa wameeleza pia kuwa, ujio wao umeanza kukuza Mnada wa Nderema kwamba utakuwa ni moja ya mnada kubwa Afrika Mashariki.

Tayari Serikali imeanza kuboresha Mnada huo kwa kuzungushia Ujio.
 
Wakazi wa Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga wameonesha kufurahia ujio wa wageni waliohamiawilayani humo kutokea Ngorongoro. Pamoja na kutaja faida kadhaa wameeleza pia kuwa, ujio wao umeanza kukuza Mnada wa Nderema kwamba utakuwa ni moja ya mnada kubwa Afrika Mashariki.

Tayari Serikali imeanza kuboresha Mnada huo kwa kuzungushia Ujio.
ITV ni chwa wa Taifa,badala waende kwenye chanzo/ Ngorongoro na Loliondo wao wamepiga kambi Handeni bila aibu.
 
Pale wafugaji wanapogeuka kuwa wakulima
Hii kali
Kwa kweli ubunifu huu [emoji23][emoji23]
 
ITV ni chwa wa Taifa,badala waende kwenye chanzo/ Ngorongoro na Loliondo wao wamepiga kambi Handeni bila aibu.
Msemaji wa serekali alishawapongeza kwa kutoriporti mambo ya huko ngorongoro nadhani na walikunywa na chai ya ikulu hawawezi report na mtu binafsi ukijichanganya kwenda kule wanaenda kukuzika mzima mzima
 
Primitive thinking hizi. Mapa 21st century bado una mawazo hayo?
Primitive? Wewe hujawahi kukaa huko huwezi jua watu walivyo na wavyoabudu ushirikina. Waliwahi kukataa Hadi mradi wa barabara ya Rami wakidai 30,000,000/= za tambiko Kuna sejemu inaitwa kwamsisi kwa wachawi na watu wanajivunia hilo!
 
Primitive? Wewe hujawahi kukaa huko huwezi jua watu walivyo na wavyoabudu ushirikina. Waliwahi kukataa Hadi mradi wa barabara ya Rami wakidai 30,000,000/= za tambiko Kuna sejemu inaitwa kwamsisi kwa wachawi na watu wanajivunia hilo!
Huyu Mataga Akikujibu nishitue
 
Primitive? Wewe hujawahi kukaa huko huwezi jua watu walivyo na wavyoabudu ushirikina. Waliwahi kukataa Hadi mradi wa barabara ya Rami wakidai 30,000,000/= za tambiko Kuna sejemu inaitwa kwamsisi kwa wachawi na watu wanajivunia hilo!
Hili tukio nalifahamu , na napafaham mpaka eneo husika.
Iko hivi hayo ni mambo ya kizamani wagomee serikali tena kwenye hili
 
Primitive? Wewe hujawahi kukaa huko huwezi jua watu walivyo na wavyoabudu ushirikina. Waliwahi kukataa Hadi mradi wa barabara ya Rami wakidai 30,000,000/= za tambiko Kuna sejemu inaitwa kwamsisi kwa wachawi na watu wanajivunia hilo!
Naishi handeni kabuku hebu acha uzushi imani za kishirikina zipo kwa watu wachache kama ilivyo maeneo mengine
 
Back
Top Bottom