General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Kweli... Mungu hatupi vyote sisi watanzania.
Leo yametokea Mashambulizi ya Kivita huko Israel kutoka kwa Palestina.
Huku kuna Ukrain dhidi ya Mrashia.
Pale kuna Mapinduzi ya Serikali sehemu mbali mbali hapa Afrika
Kule Marekani watu wanamiliki silaha nje nje kama simu za Iphone.
Lakini Tanzania yetu ni Burudani
Hatusikii mlio wa bomu wala risasi.
Hakuna kumiliki silaha kama simu.
Ni kula bia nyama...kudaka Wanawake. Ni ku enjoy kwa uwezo wako.
NAIPENDA TANZANIA YANGU
Asante kwa kuishi nchi nzuri yenye Amani furaha tele na mapenzi yote.
Leo yametokea Mashambulizi ya Kivita huko Israel kutoka kwa Palestina.
Huku kuna Ukrain dhidi ya Mrashia.
Pale kuna Mapinduzi ya Serikali sehemu mbali mbali hapa Afrika
Kule Marekani watu wanamiliki silaha nje nje kama simu za Iphone.
Lakini Tanzania yetu ni Burudani
Hatusikii mlio wa bomu wala risasi.
Hakuna kumiliki silaha kama simu.
Ni kula bia nyama...kudaka Wanawake. Ni ku enjoy kwa uwezo wako.
NAIPENDA TANZANIA YANGU
Asante kwa kuishi nchi nzuri yenye Amani furaha tele na mapenzi yote.