Tazama video hii kisha toa maoni yako

Tazama video hii kisha toa maoni yako

Nadhani unashindwa kutambua NATURE ndio mana kuna matajiri na masikini kuna madaktari engineer, polisi, vibaka

Hvyo kila mtu uchagua path yake ambayo kwake anaona inafaa

Uwezi kucompare na kila mtu
Japani ana kila aina ya teknolojia lkn sasa japani analalama upungufu wa nguvu kazi rasilimari watu

Same as CHINA na baadhi ya nilchi za ulaya
Pambana na unachoamini na be blessed na kile ulichonacho na kinachokupa furaha na amani kishikilie sana PROPERTY ni vitu ambavyo kila siku vinakuja vipya uwezi kuvimaliza vyote
 
Back
Top Bottom