Yamizigo ya kwetu ni 120km/hr while ya kwenu ni 80k/hr. Thats a big difference. Pia sisi ni electric while you are diesel meaning cost yetu itakuwa chini sanaBut mizigo itasafirishwa mingi zaidi ya kwenu.....wait and see.
Hamna reli kwa sasa unitag mkipata ***** kazi yenyu ni kuongelelea vitu haziko,Yamizigo ya kwetu ni 120km/hr while ya kwenu ni 80k/hr. Thats a big difference. Pia sisi ni electric while you are diesel meaning cost yetu itakuwa chini sana
Kwahi hata nyie hamna mafuta kwasasa, hamna LAPSET, hamna Lamu port, hamna Nairobi - Naivasha SGR?.Hamna reli kwa sasa unitag mkipata ***** kazi yenyu ni kuongelelea vitu haziko,
Kwahi hata nyie hamna mafuta kwasasa, hamna LAPSET, hamna Lamu port, hamna Nairobi - Naivasha SGR?.
issue hapo mkuu, yaani mnaongelea vitu hewa!Yamizigo ya kwetu ni 120km/hr while ya kwenu ni 80k/hr. Thats a big difference. Pia sisi ni electric while you are diesel meaning cost yetu itakuwa chini sana
Hivi hizo photo na video clip zinazoonyesha ujenzi wa SGR Tanzania, na ujenzi wa the biggest and ultra modern airport in EA, huzioni au umepanic kiasi kwamba huamini kama ni true videos from Tanzania?Ziko under construction and we have photos to back them up.
hatuongelei renders na ngeli za tu-ki na tu-ta, tuwekee picha ya sleeper factory iki tengeza sleepers za tz-sgr au hata picha za initial stages za any bridge construction. aisee kuchimba mtaro na excavator sio kujenga sgrHivi hizo photo na video clip zinazoonyesha ujenzi wa SGR Tanzania, na ujenzi wa the biggest and ultra modern airport in EA, huzioni au umepanic kiasi kwamba huamini kama ni true videos from Tanzania?
Hivi hizo photo na video clip zinazoonyesha ujenzi wa SGR Tanzania, na ujenzi wa the biggest and ultra modern airport in EA, huzioni au umepanic kiasi kwamba huamini kama ni true videos from Tanzania?
Leta picha kama izi wachana na zo video zenyu uchwara nairobi-naivashaHivi hizo photo na video clip zinazoonyesha ujenzi wa SGR Tanzania, na ujenzi wa the biggest and ultra modern airport in EA, huzioni au umepanic kiasi kwamba huamini kama ni true videos from Tanzania?
Sasa kwenye SGR unataka nini kiongelewe?, hakuna ulinganisho wowote kati ya old modern, diesel and ugly locomotives with snail speed you can compare with bullet trains.Tunaongelea SGR na Sea Port unatuletea mambo ya airport ya passengers millioni mbili.
Lamu portHivi hizo photo na video clip zinazoonyesha ujenzi wa SGR Tanzania, na ujenzi wa the biggest and ultra modern airport in EA, huzioni au umepanic kiasi kwamba huamini kama ni true videos from Tanzania?
Ipi ni bora kati ya video na pich za kawaida?, acha kupanic kaka.Leta picha kama izi wachana na zo video zenyu uchwara nairobi-naivashaView attachment 755217 View attachment 755219 View attachment 755218 View attachment 755217 View attachment 755217 View attachment 755218 View attachment 755219 View attachment 755220
Nyinyi hamna reli zaidi ya kuchimba vumbi ,miradi hewa ndio mnapenda kujadilia *****Sasa kwenye SGR unataka nini kiongelewe?, hakuna ulinganisho wowote kati ya old modern, diesel and ugly locomotives with snail speed you can compare with bullet trains.
Zaidi ya kuchimba vumbi hakuna kitu ingine ya maana mnaeza onyesha, kenya na Tanzania ni ka bingu na ardhi sisi tunajenga nyinyi mnajenga miradi hewa *****ππππIpi ni bora kati ya video na pich za kawaida?, acha kupanic kaka.
Hahahahahahahahaha, ninyi mnajenga very old outdated rail kwa ghara kubwa mara mbili zaidi ya modern one, sasa mumepanic mnaanza kugombana wenyewe kwa wenyewe, kweli ninyi ni failed stateNyinyi hamna reli zaidi ya kuchimba vumbi ,miradi hewa ndio mnapenda kujadilia *****
Soma uone jinsi mlivyopanicZaidi ya kuchimba vumbi hakuna kitu ingine ya maana mnaeza onyesha, kenya na Tanzania ni ka bingu na ardhi sisi tunajenga nyinyi mnajenga miradi hewa *****ππππ
Ninyi na watu wa kukurupuka, project zote mlizofanya are not economical, highly inflated, poorly constructed and old model.Alafu mtu anakuja kusema sisi wakenya ni tuta, tuki apana my friendππππ