TAZARA flyover soft opening

TAZARA flyover soft opening

we are on the autopilot mode, it's one projet after another. just keep on wondering. [emoji23][emoji23]
1537050905680.png
1537050860854.png
1537050861530.png
1537050905680.png
ah mzee vipi..pia wewe ulienda uzinduzi wa flyover?
 
Wakenya wanaumia sana kimoyo moyo wakiona hizi hatua kubwa tunazopiga. Hawaamini wanatamani iwe ndoto.
 
Alafu CCM watawaambia vilaza hii ni the only flyover in East and Central Africa....daraja ya Mita Mia Tano...
 
Shukrani kwa Serikali ya Japan kupitia JICA kwa kugharamia ujenzi huu kwa asilimia 100%.
 
Kikosi kazi cha nyumbu na mkarai aka wazee wa kupinga kila kitu, nime zoom zijaona nyumbu wala karai hata moja kwenye huu uzi.
 
Back
Top Bottom