Habarin wana jf naombeni nisaidiwe anaejua dawa ya hili tatizo....
Nina tatizo hili mwezi sasa unaisha napata shida sana ktk utokaji wa haja kubwa yani choo huwa kigumu sana nilipoenda hosptal nikapewa dawa na kuambiwa niwe nakunywa maji mengi na kula matunda kama ndizi papai na maembe nimekuwa nikifanya hivo ila tatizo haliishi asa nakua sielewi nin hasa au labda kuna tatizo jingine ambalo linapelekea hiyo hali nahitaji msaada kwa anaeelewa tiba ya hili tatizo
Mkuu MankaM
Pole kwa tatizo lako. Hii inaashiria kwamba unatatizo la kukosa choo (Constipation) amabacho ni kiashiria cha utumbo mpana kuwa si salama, hivyo kutofanya kazi vizuri.
Hii hutokana na aina ya vyakula tunavyokula na aina ya vinywaji tunavyokunywa. Ulaji wa ngano kwa wingi i.e chapati, maandazi, half cake, n.k na unywaji wa pombe ambayo nayo ina kiasi kikubwa cha ngano ijulikanayo kama shayiri, kutokula matunda na mbogamboga zenye nyuzinyuzi (utembwe - fibers), na kutokunywa maji kwa wingi walau lita 3 kwa siku, hupelekea tatizo hilo
Nakushauri utumie VIRUTUBISHO vifuatavyo: SHAKE OFF PHYTO FIBER NA SPLINA LIQUID CHLOROPHYLL kutibu tatizo lako. usipuuzie. tatizo hili hupelekea kansa ya utumbo mpana (colon canser), kutokwa na nyama sehemu ya haja kubwa (hemmorroids), Unene ulozidi, Mshtuko wa moyo, Kiarusi, Magonjwa ya figo, Kisukali, Presha ya juu, Magonjwa ya ngozi, Maumivu ya kichwa, Kuvuligika kwa Mpangilio wa homoni na hufikia kiasi cha kufunga choo kabisa hivyo kulazimika kupigwa bomba.
SHAKE OFF Phyto Fiber
Ni kinywaji kinachotokana na virutubisho asilia (plant fibers, roselle, oats, gacinia cambogia, na inulin - sukari ya matunda) kilicho na nguvu ya kusafisha kabisa na kuondoa mgandamano wote wa taka ktk utumbo mpana ikiuacha ukiwa msafi na wenye afya zaidi.
Faida za Shake Off
- Imetengenezwa kwa virutubisho asilia, haina madhala kwa mtumiaji.
- Ni njia ya haraka, salama, uhakika na nafuu ya kuondoa mgandamano wa taka tumboni hivyo kukupa kinga ya saratani ya utumbo mpana(colon cancer) na madhala mengine kiafya.(coprostasis)
- Inakupa matokeo chanya masaa 8 - 12 tu baada ya kutumia.
- Inapunguza uzito uliozidi na mgandamano wa mafuta kwenye mishipa ya damu (cholesterol)
- Inaondoa tatizo la kukosa choo (Constipation) na kusaidia ukuaji wa baktelia wazuri tumboni.
2. Splina Liquid Chlorophyll
Imetengenezwa kutokana na mmea wa
Mulberry unaotambulika kama chanzo bora cha Chlorophyll.
Mlo wa kila siku unatakiwa uwe na Asidi 20% and Alkali 80% ili kuuweka mwili katika afya. - Kutokana na Prof. Ragnar Berg, Mwanalishe wa Marekani.
Kijiko Kimoja cha Chakula cha Splina Liquid Chlorophyll ni sawa na Kilogram Moja ya Mbogamboga (Mboga za Majani)
Ni vyakula vipi vyenye Asidi/Alkali
Vyakula asid:
Nyama, Vyakula vya baharini, nafaka, sukari, mafuta, na Vyakula vya makopo.
Vyakula vya Alkali:
Mboga za majani (Mbogamboga), Matunda, na Vyakula vya Mizizi (Karoti, Mihogo, Viazi, n.k)
Splina Liquid Chlorophyll is RICH with the following nutrients:
Zinc - helps in cell division and cell growth for faster wound healing.
Selenium - Provides protection from the toxic effects of heavy metals and other substances
Vitamin E - Nourishes the skin and keeps the brain active.
Vitamin C - Promotes healthy teeth and gums. Increases alertness and possesses anti-cancer properties.
Vitamin A - Helps in the formation and maintenance of healthy teeth, skeletal and soft tissue, mucous
membrane and skin. Promotes good vision. Strengthens the heart function.
Protein - Helps in growth and development especially for children and adolescents. Maintains the cell,
muscles, tendons and ligaments.
Biotin essential for the metabolism of proteins and carbohydrates.
Folic Acid Acts as a co-enzyme with vitamin B12 and Vitamin C in the breakdown and synthesis of
hormones and cholesterol.
Pantothenic Essential in the synthesis of Acid hormones and cholesterol
Calcium important for growth and reproduction of human body, maintains also healthy teeth and
bones.
Chromium Stimulates fatty acid and cholesterol synthesis and an activator of of several enzymes.
Phosphorous Assists in the contraction of muscles in functioning of kidneys, maintaining of regularity
of heartbeat
Potassium It is necessary for muscle building and normal body growth.
Magnesium Helps in Muscle relaxation and contraction
Iron Essential to the formation of haemoglobin which carries the oxygen in the blood and muscles.
Faida za kutumia Splina Liquid Chlorophyll
1. Inasaidia kuhuisha seli na kuongeza kinga.
2. Inaondoa harufu mbaya mwilini na sores.
3. Inaondoa tatizo la mmengenyo wa chakula.
4. Inasafisha Ini kwa kuondoa sumu kwenye Ini
5. Inaondoa kwa haraka sumu zilizo ingia mwilini
kupitia dawa za kuua wadudu.
6. Inaweka uwiano sahihi wa tindikali na alkali mwilini.
7. Inaongeza chembe hai nyekundu za damu
8. Inaaondoa mikunyanzi ya uzee na kupunguza kasi ya kuzeeka.
9. Inapunguza uzito kwa haraka.
Nani anatakiwa kutumia Splina Liquid Chlorophyll
- Watu wenye matatizo ya moyo
- Watu wanao toka jasho sana
- Watu wenye matatizo ya Ini
- Watu wenye matatizo ya upumuaji (Pumu,TB n.k)
- Watu wenye matatizo ya mifupa na viungo
- Watu wenye upungufu wa damu
- Watu wenye ngozi iliyo pauka
- Watu wenye matatizo ya uzito (uzito uliozidi au uzito pungufu)
- Watumiaji wa pombe na sigara
- Watu wasiopenda kula mboga za majani
- Wanaosumbuliwa na tatizo la kukosa choo
- Wanopata maumivu wakati wa hedhi
- Wenye kisukari,vidonda vya tumbo na vidonda sugu.
- Watu wanao ugua mafua mara kwa mara
- Watu wenye matatizo ya koo (kukereketa n.k)
- Watu wanaotoa harufu mbaya mwilini na mdomoni
- Watu walio bize sana na wenye msongo wa mawazo
- Watu wanaopenda kula vyakula vya harakaharaka (chips, burger, pizza n.k)
Naamini maelezo haya yatakuwa msaada kwako na jamii yako inayokuzunguka pamoja na Wanajamvi kwa ujumla.
Kwa taarifa zaidi, piga: 0713 366 473 or 0767 277 223.
KARIBUNI. FEEL LOVE NOW!