TBC 1 inatumika vibaya kuhamasisha kura ya ndiyo Katiba pendekezwa

TBC 1 inatumika vibaya kuhamasisha kura ya ndiyo Katiba pendekezwa

mnajimu

Member
Joined
Aug 27, 2014
Posts
13
Reaction score
6
TBC1 ni kwanini mnaandaa vipindi ambavyo vinaipendelea CCM tu yaani kualika watu wenye mtazamo mmoja tu yaani kura ya ndio kwa katiba pendekezwa hii si haki kama mkiendelea kurusha vingelee ndani ya katiba hapo sawa lakini mkiendelea kuandaa vipindi vya kijadili basi muite pande zote mbili zzinatoa hoja kuhusu hapana na zinazotoa hoja kuhusu ndio ile tujue kwanini huyu aseme ndio na huyu aseme hapana alafu tupime lakini ikiendelea hivi basi tuambiwe TBC si mali ya umma ni mali ya akina chenge na wenzake nawaomba mweke uwiano hili jambo si la upande mmoja.

Piga vita watendaji wa serikali wanaoshikiwa akili na wanasiasa na kusahau taaluma zao.
 
Kwa TBC1 hiyo haitatokea.
Hata wakeshe wananihamasisha kupiga kura ya ndiyo
mimi ni HAPANA tu maana mapendekezo ya tume ya Warioba mengi yalipanguliwa
 
Pande mbili zipi unazizungumuzia kwa sababu UKAWA kwanza hawakuusika na uandaaji wa rasimu hii ya katiba na kingine wameisha susia kutoshiriki kwenye kura ya kuipitisho so hama aja ya kuwashirikishika.
Kura ya ndiyo
 
Pande mbili zipi unazizungumuzia kwa sababu UKAWA kwanza hawakuusika na uandaaji wa rasimu hii ya katiba na kingine wameisha susia kutoshiriki kwenye kura ya kuipitisho so hama aja ya kuwashirikishika.
Kura ya ndiyo
UKAWA wanajichanga tu. KURA ya Maoni itapita bila kupingwa.
 
mkuu pole sana kama bado unategemea vitu tofauti
 
TBC1 ni kwanini mnaandaa vipindi ambavyo vinaipendelea CCM tu yaani kualika watu wenye mtazamo mmoja tu yaani kura ya ndio kwa katiba pendekezwa hii si haki kama mkiendelea kurusha vingelee ndani ya katiba hapo sawa lakini mkiendelea kuandaa vipindi vya kijadili basi muite pande zote mbili zzinatoa hoja kuhusu hapana na zinazotoa hoja kuhusu ndio ile tujue kwanini huyu aseme ndio na huyu aseme hapana alafu tupime lakini ikiendelea hivi basi tuambiwe TBC si mali ya umma ni mali ya akina chenge na wenzake nawaomba mweke uwiano hili jambo si la upande mmoja.

Piga vita watendaji wa serikali wanaoshikiwa akili na wanasiasa na kusahau taaluma zao.
Usiwe mjinga kama lowasa- by nyerere.
 
pande mbili zipi unazizungumuzia kwa sababu ukawa kwanza hawakuusika na uandaaji wa rasimu hii ya katiba na kingine wameisha susia kutoshiriki kwenye kura ya kuipitisho so hama aja ya kuwashirikishika.
Kura ya ndiyo



hivi hiyo ni katiba pandikizi au pendekezi?
 
TBCCM ni chombo cha CCM kwasasa na si cha umma. Waache wapete miezi kadhaa hii. Mwenye uelewa sahihi huwezi ukakaa kuangalia mijadala yao ya kipuuzi ya CCM.
 
Tbc ni chombo cha serikali,hawawezi kwenda kinyume na matakwa ya serikali wao wanaelekezwa watangaze nini,
 
Tafsiri yako tu............hiyo haitumiki vibaya, inafanya kazi yake mahsusi ya kupotosha ukweli kwa maslahi ya watawala!
 
naumia pale kodi yetu inapotumika kwa maslahi ya chama fulani
 
Wewe unafikri jamii ni UKAWA, umeishiwa, TBC1 ni gwiji la habari Tanzania.

Ndio maana yake mnaangalia nyinyi magwiji tu sisi watu tuliokwisha jitambua hatuwezi kupoteza muda kuangalia/kusikiliza tbccm
 
Back
Top Bottom