TBC 1 inatumika vibaya kuhamasisha kura ya ndiyo Katiba pendekezwa

TBC 1 inatumika vibaya kuhamasisha kura ya ndiyo Katiba pendekezwa

Kwani chadema mnashindwa kuanzisha TV yenu ruzuku inaenda wapi ikiwa hata ktk matawi haifiki? Acheni kulalamika fungueni ya kwenu hata taasisi za dini zinawashinda??
 
Kwani chadema mnashindwa kuanzisha TV yenu ruzuku inaenda wapi ikiwa hata ktk matawi haifiki? Acheni kulalamika fungueni ya kwenu hata taasisi za dini zinawashinda??

Wewe kisebengo nini?hiyo tbc ni mali ya ccm?
 
Hivi Bado Kuna Watu Mnaangalia Tbccm! Hawa Mm Nilishawahama Mda.
 
Kwa TBC1 hiyo haitatokea.
Hata wakeshe wananihamasisha kupiga kura ya ndiyo
mimi ni HAPANA tu maana mapendekezo ya tume ya Warioba mengi yalipanguliwa
Mkuu kama wewe ni Mwanaukawa mambo ya katiba mpya hayakuhusu. Tuachie wazalendo tutaipitisha.
 
Upo sahihi! Hiyo TBC tuwaachie wenyewe. Huoni hata wakuu wa wilaya wanateuliwa kutoka TBC!

TBC ni kama maji kama usipoyaogea utayanywa.
Ndio maana mijadala yenu kuhusu matangazo ya TBC haikauki humu jamvini wakati mnajifanya hamuitazami.
 
TBC ni kama maji kama usipoyaogea utayanywa.
Ndio maana mijadala yenu kuhusu matangazo ya TBC haikauki humu jamvini wakati mnajifanya hamuitazami.

Jitahidi kufanya utafiti hata kama ni mdogo kiasi gani kabla hujaandika kwa maneno mazito kama haya "TBC ni kama maji kama usipoyaogea utayanywa".
 
Mkuu kama wewe ni Mwanaukawa mambo ya katiba mpya hayakuhusu. Tuachie wazalendo tutaipitisha.

Wana Ukawa ni watanzania na katiba inawahusu.
Wanaposema kupiga kura ya NDIYO au HAPANA ina maana Watanzania wana mitizamo tofauti juu ya katiba pendekezwa.

Kuipitisha sio Demokrasia ila kutoa elimu ya yale yaliyomo kwenye katiba pendekezwa, kuweka mazingira rafiki ya kuipigia kura na kuhesabia kura kwa uwazi na uaminifu ndiyo democrasia. jambo hili sio utamaduni wa nyie "WAZALENDO"
 
Wana Ukawa ni watanzania na katiba inawahusu.
Wanaposema kupiga kura ya NDIYO au HAPANA ina maana Watanzania wana mitizamo tofauti juu ya katiba pendekezwa.

Kuipitisha sio Demokrasia ila kutoa elimu ya yale yaliyomo kwenye katiba pendekezwa, kuweka mazingira rafiki ya kuipigia kura na kuhesabia kura kwa uwazi na uaminifu ndiyo democrasia. jambo hili sio utamaduni wa nyie "WAZALENDO"

Hakuna sehemu nimesema WANAUKAWA sio watanzania.

Viongozi wa UKAWA ndio waliosema kuwa wao na wafuasi wao hawatashiriki zoezi la kupigia kura katiba mpya.
 
Hakuna sehemu nimesema WANAUKAWA sio watanzania.

Viongozi wa UKAWA ndio waliosema kuwa wao na wafuasi wao hawatashiriki zoezi la kupigia kura katiba mpya.

"Mkuu kama wewe ni Mwanaukawa mambo ya katiba mpya hayakuhusu. Tuachie wazalendo tutaipitisha" ulikuwa unafikiri nini? ulimaanisha nini?

Je, kila anayesema HAPANA kwenye katiba pendekezwa ni wa ukawa na sio mzalendo?
 
TBC kimeshajitoa magamba ni chombo cha CCM siyo tena cha TAIFA.kama mnakumbuka viwanja vyote vya mpira vilivyojengwa na wananchi vilivyotolewa maagamba na kuwa vya CCM?.Anyway mimi nimeshafunga station hiyo siitazami tena
 
Nchi hii kila mtu anafikiria kula tu kujaza tumbo!!kumbukeni Mali ya dhuluma haidumu na kifo ndo mwisho wa kila kitu!unajua utakufa lin??a cha ujinga simamia haki
 
Back
Top Bottom