TBC-1: Karume aliuawa na utawala dhalimu wa Sultani wa Kikoloni wa Waarabu mapema mwaka 1970

TBC-1: Karume aliuawa na utawala dhalimu wa Sultani wa Kikoloni wa Waarabu mapema mwaka 1970

Kabla ya 1964 alikuwepo Chief Inspector (?) Sultan Ahmed Mugheir ambaye sera zake zililenga zaidi kupendelea Utawala wa Waafrika, kitu ambacho kiliwaudhi Waarabu.

Walijaribu kumuua na kwa bahati nzuri hawakufanikiwa kwa mara ya kwanza ijapokuwa walimjeruhi na alilazwa hospitali na kupewa ulinzi mkali.

Ndipo alipokwenda baba yake Humoud huku ameficha jambia na kuomba akamuone ndugu yake huyo Mugheir. Kwa kuona kwamba alikuwa mtu mzima umri umekwenda walinzi walimruhusu kumwona kumbe masikini ndiyo alikwenda kummaliza kumuua kwa jambia.

Baba yake Humoud alikamatwa na kesi ilipokwenda mahakamani alishinda kesi ile kwa kisingizio kuwa hakuwa na akili timamu.

Baada ya Mapinduzi kesi ilifunguliwa tena (baadhi wanasema alichukuliwa tu) na alihukumiwa kufungwa na wengine wanasema kuuwawa.

Humoud aliapa kwamba angemuua Karume kulipiza kisasi na hata alipokwenda kusomea jeshi Urusi alikuwa akisema hilo.

Inasemekana Karume aliambiwa hilo lakini hakuamini na alimuacha aendelee jeshini.

Ulipotokea mpango wa kumpindua ndipo na yeye alijiunga, ila mpango ulipofeli yeye na Ahmada (na huyu anazo sababu zake) walikwenda Kisiwandui na kutimiza ahadi hiyo.

Inasemekana Humoud alivaa koti refu kumbe ndani ameficha silaha na alipofika tu akammiminia risasi na baadhi wanasema alijiua mwenyewe na wengine aliuawawa na walinzi wake. Yeye na Ahmada na Ali Khatibu Chwaya waliuawa pale Kisiwandui.

Hiyo ilikuwa ni siku ya Ijumaa tarehe 7 April 1972, saa 12 na dakika tano jioni.

Aliyekuwa Chief Inspector Mugheir ni babu yake Edi Riyami kwa baba, ambaye ni maarufu katika siasa za Zanzibar.
 
Kabla ya 1964 alikuwepo Chief Inspector (?) Sultan Ahmed Mugheir ambaye sera zake zililenga zaidi kupendelea Utawala wa Waafrika, kitu ambacho kiliwaudhi Waarabu.

Walijaribu kumuua na kwa bahati nzuri hawakufanikiwa kwa mara ya kwanza ijapokuwa walimjeruhi na alilazwa hospitali na kupewa ulinzi mkali.

Ndipo alipokwenda baba yake Humoud huku ameficha jambia na kuomba akamuone ndugu yake huyo Mugheir. Kwa kuona kwamba alikuwa mtu mzima umri umekwenda walinzi walimruhusu kumwona kumbe masikini ndiyo alikwenda kummaliza kumuua kwa jambia.

Baba yake Humoud alikamatwa na kesi ilipokwenda mahakamani alishinda kesi ile kwa kisingizio kuwa hakuwa na akili timamu.

Baada ya Mapinduzi kesi ilifunguliwa tena (baadhi wanasema alichukuliwa tu) na alihukumiwa kufungwa na wengine wanasema kuuwawa.

Humoud aliapa kwamba angemuua Karume kulipiza kisasi na hata alipokwenda kusomea jeshi Urusi alikuwa akisema hilo.

Inasemekana Karume aliambiwa hilo lakini hakuamini na alimuacha aendelee jeshini.

Ulipotokea mpango wa kumpindua ndipo na yeye alijiunga, ila mpango ulipofeli yeye na Ahmada (na huyu anazo sababu zake) walikwenda Kisiwandui na kutimiza ahadi hiyo.

Inasemekana Humoud alivaa koti refu kumbe ndani ameficha silaha na alipofika tu akammiminia risasi na baadhi wanasema alijiua mwenyewe na wengine aliuawawa na walinzi wake. Yeye na Ahmada na Ali Khatibu Chwaya waliuawa pale Kisiwandui.

Hiyo ilikuwa ni siku ya Ijumaa tarehe 7 April 1972, saa 12 na dakika tano jioni.

Aliyekuwa Chief Inspector Mugheir ni babu yake Edi Riyami kwa baba, ambaye ni maarufu katika siasa za Zanzibar.

Yawezekan maelezo yako yakawa yana ukweli, ila Tatizo lako kubwa lugha ya uchochezi kuna maelezo yako.

Unaelezea kama ni vita ya Uafrica na Uarabu wakati ilikua vita baina ya vyama va siasa ASP vs HIZBU. ndani ya hizbu kulikua na waafica, na ndani ya mrengo wa ASP walikuemo waarabu.
 
Yawezekan maelezo yako yakawa yana ukweli, ila Tatizo lako kubwa lugha ya uchochezi kuna maelezo yako.

Unaelezea kama ni vita ya Uafrica na Uarabu wakati ilikua vita baina ya vyama va siasa ASP vs HIZBU. ndani ya hizbu kulikua na waafica, na ndani ya mrengo wa ASP walikuemo waarabu.
Wewe ndivyo unavyoona tafsiri yako na mimi sikatai kwamba vyama vyote hivyo vilikuwa na wanachama wa kabila zote mbili Waafrika na Waarabu. Lakini ukumbuke kwamba kile kilikuwa ni kipindi cha siasa kali za kikabila. Hizbu ilikuwa na asilimia kubwa ya waarabu na ASP ilikuwa na asilimia kubwa ya Waafrika.

Labda kama unafahamu baba yake Homoud (Mohammed Barwani) alimuua Sultan Mugheir kwa sababu gani?

nb: mimi pia ni mchanganyiko wa muafrika na muarabu.
 
Wewe ndivyo unavyoona tafsiri yako na mimi sikatai kwamba vyama vyote hivyo vilikuwa na wanachama wa kabila zote mbili Waafrika na Waarabu. Lakini ukumbuke kwamba kile kilikuwa ni kipindi cha siasa kali za kikabila. Hizbu ilikuwa na asilimia kubwa ya waarabu na ASP ilikuwa na asilimia kubwa ya Waafrika.

Labda kama unafahamu baba yake Homoud (Mohammed Barwani) alimuua Sultan Mugheir kwa sababu gani?

nb: mimi pia ni mchanganyiko wa muafrika na muarabu.

huo ukabila mnaluleta nyinyi, hata siasa za sasa kwa miaka ya mbele waweza kuja kusimuliwa kama Zanzibar palikua na siasa za ACT / Upemba na CCM / UUngujua kitu ambacho sicho chakweli, ni wahuni wachache wanaojaribu kupotosha uhalisia kwa maslahi yao binafsi.
 
Wanabodi,

Huu ni utambulisho wa kipindi maalum cha Kumbukumbu ya Kifo cha Hayati Abedi Amani Karume, uliofanywa na Mtangazaji Festos Makerubi wa TBC-1 akiwa mjini Zanzibar.

Kuna makosa ambayo yanaitwa ya kuteleza ulimi, na kuna makosa ya lack of knowledge!. Kitendo cha kusema Karume aliuwawa mapema mwaka 1970, linaweza kusameheka kama ni kuteleza ulimi!, lakini hili la kuuliwa na utawala dhalimu wa Sultani kikoloni wa Waarabu ni lack of knowledge!.

Huyu Mtangazaji alipaswa kuwa knowlegable kujua Zanzibar ilipata lini uhuru wa bandia, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaliyoutimua utawala ule wa serikali ya kibaraka ya Shamte, na kumtimua Sultani yalifanyika lini, na ni baada ya muda gani, Karume aliuwawa!.

Wauwaji ni kweli wanaweza kuwa ni wapinga Mapinduzi, na labda yalikuwa na mkono wa waliopinduliwa, lakini wakati mauaji hayo yakitokea, Zanzibar haikuwa chini ya Utawala wa Sultani!, hivyo mauaji yale hayakupangwa na utawala dhalimu wa Sultani wa Kiarabu!.

Ukiondoa tatizo hilo dogo la factual mistakes, kipindi kilikuwa kizuri, Festo alifanikiwa kuwahoji baadhi ya walioshiriki mapinduzi yale!, kwa vile mtangazaji mwenyewe hakuwa deep kuhusu mapinduzi hayo, hakuweza kuwauliza wazee hao nini haswa kilitokea na kilichopelekea Karume kuuwawa!, naamini wachimbaji ukweli, wanaujua ukweli wa ni nani walimuua Karume na kwa nini aliuwawa, ila tunaadhimisha tuu kumbukumbu ya kifo cha Karume bila kujishughulisha ni nini kilipelekea mauaji hayo!.

At this juncture pia naomba kutoa pongezi zangu za dhati kwa TBC-1, leo ndio kwa mara ya kwanza, angalau nimepata kuzisikia hotuba za Karume zikirushwa na TBC-1.

Nawatakia kumbukumbu njema ya kifo cha Abedi Amani Karume!.

RIP AAK!.

Pasco
Niliwahi kuuliza swali hapa kuhusu competence ya editorial rooms za newsoutlets za Tanzania!
 
Kabla ya 1964 alikuwepo Chief Inspector (?) Sultan Ahmed Mugheir ambaye sera zake zililenga zaidi kupendelea Utawala wa Waafrika, kitu ambacho kiliwaudhi Waarabu.

Walijaribu kumuua na kwa bahati nzuri hawakufanikiwa kwa mara ya kwanza ijapokuwa walimjeruhi na alilazwa hospitali na kupewa ulinzi mkali.

Ndipo alipokwenda baba yake Humoud huku ameficha jambia na kuomba akamuone ndugu yake huyo Mugheir. Kwa kuona kwamba alikuwa mtu mzima umri umekwenda walinzi walimruhusu kumwona kumbe masikini ndiyo alikwenda kummaliza kumuua kwa jambia.

Baba yake Humoud alikamatwa na kesi ilipokwenda mahakamani alishinda kesi ile kwa kisingizio kuwa hakuwa na akili timamu.

Baada ya Mapinduzi kesi ilifunguliwa tena (baadhi wanasema alichukuliwa tu) na alihukumiwa kufungwa na wengine wanasema kuuwawa.

Humoud aliapa kwamba angemuua Karume kulipiza kisasi na hata alipokwenda kusomea jeshi Urusi alikuwa akisema hilo.

Inasemekana Karume aliambiwa hilo lakini hakuamini na alimuacha aendelee jeshini.

Ulipotokea mpango wa kumpindua ndipo na yeye alijiunga, ila mpango ulipofeli yeye na Ahmada (na huyu anazo sababu zake) walikwenda Kisiwandui na kutimiza ahadi hiyo.

Inasemekana Humoud alivaa koti refu kumbe ndani ameficha silaha na alipofika tu akammiminia risasi na baadhi wanasema alijiua mwenyewe na wengine aliuawawa na walinzi wake. Yeye na Ahmada na Ali Khatibu Chwaya waliuawa pale Kisiwandui.

Hiyo ilikuwa ni siku ya Ijumaa tarehe 7 April 1972, saa 12 na dakika tano jioni.

Aliyekuwa Chief Inspector Mugheir ni babu yake Edi Riyami kwa baba, ambaye ni maarufu katika siasa za Zanzibar.
Wewe ume
atia maelezo haswa.
Mauaji ya Karume yalikuwa mpango wa mtu mmoja Homuod, kulipiza kifo cha baba yake.
 
Wanabodi,

Huu ni utambulisho wa kipindi maalum cha Kumbukumbu ya Kifo cha Hayati Abedi Amani Karume, uliofanywa na Mtangazaji Festos Makerubi wa TBC-1 akiwa mjini Zanzibar.

Kuna makosa ambayo yanaitwa ya kuteleza ulimi, na kuna makosa ya lack of knowledge!. Kitendo cha kusema Karume aliuwawa mapema mwaka 1970, linaweza kusameheka kama ni kuteleza ulimi!, lakini hili la kuuliwa na utawala dhalimu wa Sultani kikoloni wa Waarabu ni lack of knowledge!.

Huyu Mtangazaji alipaswa kuwa knowlegable kujua Zanzibar ilipata lini uhuru wa bandia, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaliyoutimua utawala ule wa serikali ya kibaraka ya Shamte, na kumtimua Sultani yalifanyika lini, na ni baada ya muda gani, Karume aliuwawa!.

Wauwaji ni kweli wanaweza kuwa ni wapinga Mapinduzi, na labda yalikuwa na mkono wa waliopinduliwa, lakini wakati mauaji hayo yakitokea, Zanzibar haikuwa chini ya Utawala wa Sultani!, hivyo mauaji yale hayakupangwa na utawala dhalimu wa Sultani wa Kiarabu!.

Ukiondoa tatizo hilo dogo la factual mistakes, kipindi kilikuwa kizuri, Festo alifanikiwa kuwahoji baadhi ya walioshiriki mapinduzi yale!, kwa vile mtangazaji mwenyewe hakuwa deep kuhusu mapinduzi hayo, hakuweza kuwauliza wazee hao nini haswa kilitokea na kilichopelekea Karume kuuwawa!, naamini wachimbaji ukweli, wanaujua ukweli wa ni nani walimuua Karume na kwa nini aliuwawa, ila tunaadhimisha tuu kumbukumbu ya kifo cha Karume bila kujishughulisha ni nini kilipelekea mauaji hayo!.

At this juncture pia naomba kutoa pongezi zangu za dhati kwa TBC-1, leo ndio kwa mara ya kwanza, angalau nimepata kuzisikia hotuba za Karume zikirushwa na TBC-1.

Nawatakia kumbukumbu njema ya kifo cha Abedi Amani Karume!.

RIP AAK!.

Pasco

Waarabu waliuliwa sana kipindi hicho, very sad, lakini karume, nyerere na okello from uganda wako wapi sasa! Wamerudi udongoni, kwa dhulma/mauwaji hayo waloyafanya dhidi ya waarabu/waislamu wasio na hatia bila kujali wazee, wajane, watoto na wajawazito, walidhani wataishi milele sio Pascal Mayalla !!!!!! Nabii Muhammad S.A.W angelikuwepo yote haya yasingetokea


Allah awarehemu na awafutie madhambi yao waarabu/waislamu wote waliouawa dhidi ya madhaalim.

@
Pascal mayala, ukweli mnaujua kuhusu utatu huu n.k lakini kwa chuki mlizonazo dhidi ya waarabu/uislamu mpaka mkaamua kudanganya na kuigeuza historia
1 Nyerere
2 Abeid karume
3 Okello


Ebu niambie watatu hao, kuna mmoja hapo alikufa kifo kizuri!!!!
 
Kaka ya
Wanabodi,

Huu ni utambulisho wa kipindi maalum cha Kumbukumbu ya Kifo cha Hayati Abedi Amani Karume, uliofanywa na Mtangazaji Festos Makerubi wa TBC-1 akiwa mjini Zanzibar.

Kuna makosa ambayo yanaitwa ya kuteleza ulimi, na kuna makosa ya lack of knowledge!. Kitendo cha kusema Karume aliuwawa mapema mwaka 1970, linaweza kusameheka kama ni kuteleza ulimi!, lakini hili la kuuliwa na utawala dhalimu wa Sultani kikoloni wa Waarabu ni lack of knowledge!.

Huyu Mtangazaji alipaswa kuwa knowlegable kujua Zanzibar ilipata lini uhuru wa bandia, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yaliyoutimua utawala ule wa serikali ya kibaraka ya Shamte, na kumtimua Sultani yalifanyika lini, na ni baada ya muda gani, Karume aliuwawa!.

Wauwaji ni kweli wanaweza kuwa ni wapinga Mapinduzi, na labda yalikuwa na mkono wa waliopinduliwa, lakini wakati mauaji hayo yakitokea, Zanzibar haikuwa chini ya Utawala wa Sultani!, hivyo mauaji yale hayakupangwa na utawala dhalimu wa Sultani wa Kiarabu!.

Ukiondoa tatizo hilo dogo la factual mistakes, kipindi kilikuwa kizuri, Festo alifanikiwa kuwahoji baadhi ya walioshiriki mapinduzi yale!, kwa vile mtangazaji mwenyewe hakuwa deep kuhusu mapinduzi hayo, hakuweza kuwauliza wazee hao nini haswa kilitokea na kilichopelekea Karume kuuwawa!, naamini wachimbaji ukweli, wanaujua ukweli wa ni nani walimuua Karume na kwa nini aliuwawa, ila tunaadhimisha tuu kumbukumbu ya kifo cha Karume bila kujishughulisha ni nini kilipelekea mauaji hayo!.

At this juncture pia naomba kutoa pongezi zangu za dhati kwa TBC-1, leo ndio kwa mara ya kwanza, angalau nimepata kuzisikia hotuba za Karume zikirushwa na TBC-1.

Nawatakia kumbukumbu njema ya kifo cha Abedi Amani Karume!.

RIP AAK!.

Pasco
Ndugu Pascal,
Pole kwa majukumu mazito uliyojitwisha.
TBC wanaifanyia kazi sera ya Tanzania ya kuuficha ukweli wa historia ya Zanzibar.
Lakini nakushukuru hata wewe kuona upotoshaji mkubwa wa hata mauwaji yalivyofanyika na tarehe zenyewe pia.
Karume aliuwawa Mwaka 1972 kama sikosei na si 19 70.
Waliomuwa ni wanajeshi wake mwenyewe ,na katika ile kesi maarufu ya uhaini, iliyowahusu watu waliotuhumiwa kumuua Karume, kulikuwepo Mr x.
Walioshiriki kesi ile ,baadhi yao wapo hai, na wanamjua Mr. X alikuwa nani.
Pamoja na yote hayo, Mrx alikuwa na Njama za kupindua nchi,
Na muuwaji alikuwa na nia ya kumuuwa Karume kama kisasi cha baba yake.
Mr. X alipoupata mwanya huu alitekeleza dhamira yake.
Zama zile kulikuwa na jeshi la Zanzibar. JLU, Jeshi la Tanganyika na JWTZ ambalo kilikuwa kikosi kidoogo chenye watu kiasi ya 1000, kutoka Zanzibar na Kadhaakutoka Bara waliounda jeshi hilo la Muungano.

Sasa Huu Uarabu, Upinga Mapinduzi na Upinzani sijui ulitokea wapi.

Mimi nashangaa sana ,Ni kwa nini Tulianzisha sherehe za Kumbukumbu za Muwaji, na kwa nini si siku yake ya Kuzaliwa au siku alipoachaguliwa kuwa Raisi wa ASP.

Hizi sherehe za kufa hazina ladha hata kidogo wala mantik
 
Kabla ya 1964 alikuwepo Chief Inspector (?) Sultan Ahmed Mugheir ambaye sera zake zililenga zaidi kupendelea Utawala wa Waafrika, kitu ambacho kiliwaudhi Waarabu.

Walijaribu kumuua na kwa bahati nzuri hawakufanikiwa kwa mara ya kwanza ijapokuwa walimjeruhi na alilazwa hospitali na kupewa ulinzi mkali.

Ndipo alipokwenda baba yake Humoud huku ameficha jambia na kuomba akamuone ndugu yake huyo Mugheir. Kwa kuona kwamba alikuwa mtu mzima umri umekwenda walinzi walimruhusu kumwona kumbe masikini ndiyo alikwenda kummaliza kumuua kwa jambia.

Baba yake Humoud alikamatwa na kesi ilipokwenda mahakamani alishinda kesi ile kwa kisingizio kuwa hakuwa na akili timamu.

Baada ya Mapinduzi kesi ilifunguliwa tena (baadhi wanasema alichukuliwa tu) na alihukumiwa kufungwa na wengine wanasema kuuwawa.

Humoud aliapa kwamba angemuua Karume kulipiza kisasi na hata alipokwenda kusomea jeshi Urusi alikuwa akisema hilo.

Inasemekana Karume aliambiwa hilo lakini hakuamini na alimuacha aendelee jeshini.

Ulipotokea mpango wa kumpindua ndipo na yeye alijiunga, ila mpango ulipofeli yeye na Ahmada (na huyu anazo sababu zake) walikwenda Kisiwandui na kutimiza ahadi hiyo.

Inasemekana Humoud alivaa koti refu kumbe ndani ameficha silaha na alipofika tu akammiminia risasi na baadhi wanasema alijiua mwenyewe na wengine aliuawawa na walinzi wake. Yeye na Ahmada na Ali Khatibu Chwaya waliuawa pale Kisiwandui.

Hiyo ilikuwa ni siku ya Ijumaa tarehe 7 April 1972, saa 12 na dakika tano jioni.

Aliyekuwa Chief Inspector Mugheir ni babu yake Edi Riyami kwa baba, ambaye ni maarufu katika siasa za Zanzibar.
Mkuu bitimkongwe , asante sana kwa hii, maana leo ndio mara ya kwanza kukisikia kisa hiki, and this looks truthfully and genuine.

Story ya mtaani ilikuwa baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Karume akaamuru Wabantu wawapose mabinti wa Kiarabu ni marufuku kukataa. Inasemekana kuna Mbantu alimposa dada wa Humoud, baba yake akamgomea, inasemekana bosi akaenda mwenyewe nyumbani kwao na muoaji aliyekataliwa, baba akaamrishwa mwite binti yako, baba akagoma, binti akaja ili baba asidhurike, binti akashikwa kinguvu na kuchukuliwa, baba katika kumgombelezea, inasemekana jamaa kachomoa kitu, akamshindilia baba huku mtoto Humoud akishuhudia. Ndipo akaweka nadhiri ya kulipiza kisasi. Kumbe hizi ni story tuu, leo ndio nimeujua ukweli.
Thanks
P
 
Kaka ya

Ndugu Pascal,
Pole kwa majukumu mazito uliyojitwisha.
TBC wanaifanyia kazi sera ya Tanzania ya kuuficha ukweli wa historia ya Zanzibar.
Lakini nakushukuru hata wewe kuona upotoshaji mkubwa wa hata mauwaji yalivyofanyika na tarehe zenyewe pia.
Karume aliuwawa Mwaka 1972 kama sikosei na si 19 70.
Waliomuwa ni wanajeshi wake mwenyewe ,na katika ile kesi maarufu ya uhaini, iliyowahusu watu waliotuhumiwa kumuua Karume, kulikuwepo Mr x.
Walioshiriki kesi ile ,baadhi yao wapo hai, na wanamjua Mr. X alikuwa nani.
Pamoja na yote hayo, Mrx alikuwa na Njama za kupindua nchi,
Na muuwaji alikuwa na nia ya kumuuwa Karume kama kisasi cha baba yake.
Mr. X alipoupata mwanya huu alitekeleza dhamira yake.
Zama zile kulikuwa na jeshi la Zanzibar. JLU, Jeshi la Tanganyika na JWTZ ambalo kilikuwa kikosi kidoogo chenye watu kiasi ya 1000, kutoka Zanzibar na Kadhaakutoka Bara waliounda jeshi hilo la Muungano.

Sasa Huu Uarabu, Upinga Mapinduzi na Upinzani sijui ulitokea wapi.

Mimi nashangaa sana ,Ni kwa nini Tulianzisha sherehe za Kumbukumbu za Muwaji, na kwa nini si siku yake ya Kuzaliwa au siku alipoachaguliwa kuwa Raisi wa ASP.

Hizi sherehe za kufa hazina ladha hata kidogo wala mantik


Viongozi wa kiislamu tulionao mtihani sheikh. wengi wao wako kimaslahi/dunia, kwa miaka yote baada ya kufa kwake yule dhaalimu mkubwa NYERERE, waisilamu walikua na power ya kuiuwa sherehe za kumbukumbu za huyo Abeid karume/Muuwaji dhidi ya waarabu/waislamu wasio na hatia, Walikua na uwezo wa kuvunja muungano usio na faida kwa wazanzibari. Waislamu tunapigana vita wenyewe kwa wenyewe kwa mambo ya kidunia na kuwapa faida wasiokua waisilamu.
 
Mkuu bitimkongwe , asante sana kwa hii, maana leo ndio mara ya kwanza kukisikia kisa hiki, and this looks truthfully and genuine.

Story ya mtaani ilikuwa baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Karume akaamuru Wabantu wawapose mabinti wa Kiarabu ni marufuku kukataa. Inasemekana kuna Mbantu alimposa dada wa Humoud, baba yake akamgomea, inasemekana bosi akaenda mwenyewe nyumbani kwao na muoaji aliyekataliwa, baba akaamrishwa mwite binti yako, baba akagoma, binti akaja ili baba asidhurike, binti akashikwa kinguvu na kuchukuliwa, baba katika kumgombelezea, inasemekana jamaa kachomoa kitu, akamshindilia baba huku mtoto Humoud akishuhudia. Ndipo akaweka nadhiri ya kulipiza kisasi. Kumbe hizi ni story tuu, leo ndio nimeujua ukweli.
Thanks
P
Inawezekana lakini mimi hiyo ndiyo niliyosikia na ni kweli baba yake Humoud ndiye aliyemuua huyo Inspector Mugheir. Huyu marehemu Inspector Mugheir ni babu yake yule mwanasiasa maarufu Edi Riyami ambaye yupo mzima na afya. Ninatamani angekuwa mjumbe wa hii forum akatueleza ukweli kuhusu kuuwawa kwa babu yake.
 
At this juncture pia naomba kutoa pongezi zangu za dhati kwa TBC-1, leo ndio kwa mara ya kwanza, angalau nimepata kuzisikia hotuba za Karume zikirushwa na TBC-1.

Nawatakia kumbukumbu njema ya kifo cha Abedi Amani Karume!.

RIP AAK!.

Pasco
Leo ni Karume Day, nami naomba kujiunga na Watanzania wenzetu maadhimisho mema ya Karume Day na kuwatakia mapumziko mema.
RIP Abedi Amani Karume.
Paskali
 
Back
Top Bottom