Heron
JF-Expert Member
- Oct 4, 2013
- 1,946
- 1,800
Unafikiri ABBAS TARIMBA kuwa kuwa mkurugenzi wa kampuni ya Kamari ndio ina justify uhalali wa Kamari?Hawakuwa na copyrights tu mkuu ya kuipeperusha mechi hewani na Sportpesa wanafanya marketing ya kampuni yao bado haijakuwa kubwa sana na haijawafikia wengi.
Wangerusha Azam wasingewafikia watu wenye Startimes, Zuku n.k
Kumbuka mkurugenzi wa sportpesa ni muislamu Abbas Tarimba mtu wa masoko ambaye namkubali sana ni Kelvin Twisa anajua kucheza na hizi mambo
Kamari ni Haraam hata kama kiongozi wake atakuwa muislaam.