Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
- Thread starter
- #21
TBC UKWELI NA UHAKIKA😁Hebu ngoja kwanza unasemaView attachment 2409011
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TBC UKWELI NA UHAKIKA😁Hebu ngoja kwanza unasemaView attachment 2409011
ni channel yetu ya taifa tusiishambulie kiasi hicho mpaka kuifananisha na takatakaTBC ni takataka tu
juhudi gani hzo munazounga nyie
😁😁😡😡😡Mama anaupiga mwingi [emoji276]
bila samahani mkuu ujumbe umefikaKiufupi nahuzunika kuona nchi yetu inazidi kurudi nyuma yaaani yaaani hatuna vifaa vya uokoaji vya kisasa kweli kweli watu wanakufa kizembe kweli arafu jambo hili kuna watu wamesign posho kweli kifo cha mwenzako kwako fulsa kweli wale wote walioweka mikono nyuma na wametoka dar au Dodoma walifata nini huku wakituchanganya na idadi kamili hawana,vifaa vya uokoaji sio ndo akina kangi walitaka kupiga ela wakati wa magu,ifike mahala serikali iwajibike yenyewe inamaana hata ndege za jeshi za uokoaji hakuna?kweli Hii Ni AIBU kutwa na vikombe kuombaomba kwa watu tunashindwa hata kubuni mitumbwi ya kisasa kuwaboreshea wavuvi ambao hawana thamani wakati wa raha lkn wakati wa shida unamsujudia akupe msaada nasema wahusika muachie ngazi wenyewe bila kushurutishwa MUNGU anawaona kila kitu kusifu ni Mungu pekee yatupasa kumsifu tuwe na uhalisia wa maisha Habari zinapikwa kila zitokapo,samahani kwa uandishi ujumbe umefika.
Kuna mda unafika unatamani kama Pesa ingekuwepo ni kuhama unaenda kuishi nchi za wenzetu aisee ila basi tu huku naona ni liana kwa kila kituTBC UKWELI NA UHAKIKA😁
punguza ukali wa maneno kama wewe hufuatilii TBC sio kigezo cha kuwaona wanaofuatilia ni wajinga.Hivi Kuna mtu mwenye akili timamu bado anafuatilia habari za TBC ? Kama wapo ni a dhahiri wajinga bado ni wengi Sana nchi hii
Hiki kitu hata mimi kimenishangaza.In short ni Main stream zote za bongo ni michosho. Walishindwa hata kulipa reporter mmoja akaingia Live kwa wote kwa pamoja?
Kila siku mnatuambia uzalendo ajabu nyie hamna uzalendo. Nili turn TBC nikakupa mahojiano ya Dj arungu sijui kurudi Clouds nakuta kwaya. Star Tv ambao wako karibu wanaonesha hotuba ya Mama iliyopita mambo ya gas ya kupikia nilipata hasira sana.
Anafuata maagizo ya waliomuweka hapo wataanzaje kumtimua?Why Ayubu Rioba hatimuliwi