Uchaguzi 2020 TBC kama inahisi mikutano ya Wapinzani ina shida bora isiende Live kuliko wanavyofanya

Uchaguzi 2020 TBC kama inahisi mikutano ya Wapinzani ina shida bora isiende Live kuliko wanavyofanya

Casuist

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2014
Posts
1,189
Reaction score
2,970
Leo ACT-Wazalendo wako Lindi wanazindua kampeni, Mic akashika mtu anayeitwa Chaurembo. Japo maneno yalikuwa makali kiasi chake, TBC wakaamua kurudi studio na ku-buy time mpaka mhusika amalize ndio sauti ikarudi ya uwanjani. Inaleta impression mbaya kwa shirika, ama wachague kwenda au kutokwenda. Kama sheria inawalazimu bora wawaambie chama chenye wabunge wengi wakaibadili kwa kutumia wingi wao lakini si hivi wanavyofanya.
 
Mkuu hata wewe mwenyewe unakili kabisa maneno yalikuwa makali.
Hivi kwani ni lazima kutamka maneno ya hivyo ndo uonekane wewe ni mpinzani?
Kwenye mkutano wa ccm juzi mbona hatukusikia hayo maneno makali kwanini iwe wapinzani tu ?
 
Muongo wahedi ! Mbona wako hewani vizuri tuu ?? TBC ni chombo makini kinafuata maadili !!
 
Mkuu hata wewe mwenyewe unakili kabisa maneno yalikuwa makali.
Hivi kwani ni lazima kutamka maneno ya hivyo ndo uonekane wewe ni mpinzani?
Kwenye mkutano wa ccm juzi mbona hatukusikia hayo maneno makali kwanini iwe wapinzani tu ?

Ndio maana nikasema kama wanahisi ina shida wasiende live, wafanye taarifa.. Naona wamemkata na Bwege kisa ameongelea Masheikh wa Uamsho.. Haina maana hii live.
 
Mkuu hata wewe mwenyewe unakili kabisa maneno yalikuwa makali.
Hivi kwani ni lazima kutamka maneno ya hivyo ndo uonekane wewe ni mpinzani?
Kwenye mkutano wa ccm juzi mbona hatukusikia hayo maneno makali kwanini iwe wapinzani tu ?
Maneno makali kwa muktadha gani mkuu?. Hata Magufuli alivyowaita watoto wawatu nivilaza yale yanaweza kuwa maneno makali, lakini vipi Mpinzani akisema ccm nivilaza itakua maneno makali au sio makali?. Je neno hilo akilitamka Maguful unaamini TBC watakata matangazo?.
 
TBC ni wapumbavu, anapoongea Magufuli wana-relax wala hawakati matangazo anaporopoka na kutoa maneno makali. Lakini kwa wapinzani wanashikilia remote tayari kwa kuzima pale wanaposema ukweli kuhusu udhaifu, ukatili na kutozigatia sheria kwa Magufuli binafsi na serikali yake.
 
Leo ACT wako Lindi wanazindua kampeni, Mic akashika mtu anayeitwa Chaurembo. Japo maneno yalikuwa makali kiasi chake, TBC wakaamua kurudi studio na ku-buy time mpaka mhusika amalize ndio sauti ikarudi ya uwanjani. Inaleta impression mbaya kwa shirika, ima wachague kwenda au kutokwenda. Kama sheria inawalazimu bora wawaambie chama chenye wabunge wengi wakaibadili kwa kutumia wingi wao lakini si hivi wanavyofanya.
Wewe mwenyewe ushasema maneno yalikua makali alafu unanung'unika
 
Mkuu hata wewe mwenyewe unakili kabisa maneno yalikuwa makali.
Hivi kwani ni lazima kutamka maneno ya hivyo ndo uonekane wewe ni mpinzani?
Kwenye mkutano wa ccm juzi mbona hatukusikia hayo maneno makali kwanini iwe wapinzani tu ?

CCM wameongea maneno makali kwa miaka mitano, nadhani yamewaishia, hawa nao waachwe yataisha tu, tuwe wavumilivu.
 
Leo ACT wako Lindi wanazindua kampeni, Mic akashika mtu anayeitwa Chaurembo. Japo maneno yalikuwa makali kiasi chake, TBC wakaamua kurudi studio na ku-buy time mpaka mhusika amalize ndio sauti ikarudi ya uwanjani. Inaleta impression mbaya kwa shirika, ima wachague kwenda au kutokwenda. Kama sheria inawalazimu bora wawaambie chama chenye wabunge wengi wakaibadili kwa kutumia wingi wao lakini si hivi wanavyofanya.
Tbc hovyo kabisa.
 
Leo ACT wako Lindi wanazindua kampeni, Mic akashika mtu anayeitwa Chaurembo. Japo maneno yalikuwa makali kiasi chake, TBC wakaamua kurudi studio na ku-buy time mpaka mhusika amalize ndio sauti ikarudi ya uwanjani. Inaleta impression mbaya kwa shirika, ima wachague kwenda au kutokwenda. Kama sheria inawalazimu bora wawaambie chama chenye wabunge wengi wakaibadili kwa kutumia wingi wao lakini si hivi wanavyofanya.
Mkuu tema mate chini. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Zitto na membe wameongea mwanzo mwisho live TBC 1 n TBC taifa bila kukatiwa matangazo. Usiwaige cdm, itawagharimu.
 
Leo ACT wako Lindi wanazindua kampeni, Mic akashika mtu anayeitwa Chaurembo. Japo maneno yalikuwa makali kiasi chake, TBC wakaamua kurudi studio na ku-buy time mpaka mhusika amalize ndio sauti ikarudi ya uwanjani. Inaleta impression mbaya kwa shirika, ima wachague kwenda au kutokwenda. Kama sheria inawalazimu bora wawaambie chama chenye wabunge wengi wakaibadili kwa kutumia wingi wao lakini si hivi wanavyofanya.
Wapuuzi sana hao jamaa! Zakhiem ilikuwa hivvo hivyo.
 
Back
Top Bottom