TBC kiko wapi kipindi cha kishindo ya awamu ya sita?

TBC kiko wapi kipindi cha kishindo ya awamu ya sita?

Meko alipiga trilioni moja
Akaile kule kaburini. Tena ni moja na nusu, jambazi hadumu, lazima aoze, alijiona Mungu mtu akadhani ataishi milele. Hakukemea alipoitwa Mungu, hakuwakanya walipodiriki kusema Mungu ashuke ajifunze kwa pombe.
Ile trillion 1.5 ya walipa kodi wa Tanzania ndo alikuwa anaitumia kuhonga tbc, kuhonga mahawara zake, kugawa barabarani hovyo hovyo, kununulia binadam waunge mkono juhudi nk, go to hell pombe!
 
TBC walikuwa na vipindi vitatu (1)kishindo cha awamu ya tano(2)Tunatekeleza(3)Tanzania mpya vyote vilikuwa vya kumsifia na kumtukuza Magufuli.
Hivyo tulishafika huko , Nimeacha kuangalia hiyo TBC toka kampen za Mkapa mwaka 1995.
Kwa hiyo Mwendawizimu alikua anakopi mambo ya ”Saddam Hosein wa Kuweit ”😂😂

Irak ilikua kama kuna kipindi kinavutia watu wengi kutazama kwenye TV, katikati ya kipindi anaongea live Saddam Hosein ili mradi tu aonekane.
 
Ni swali hili. Kipindi cha Hayati kulikuwa na Kipindi cha kishindo cha awamu ya tano. Sasa mbona hamkiendelezi kwenye hii awamu ya Sita? Shida nini!?
Shida ni kuwa wamekwamia bado awamu iliyopita,yafaa tuwasaidie kujikwamua kutokamo.
 
Awamu ya 6 haina kishindo chochote!

Kama hadi mitambo ya hapo bandarini inatukbukia kwenye maji kuna kishindo gani hapo?

Luku tu imetulaza watu giza siku 5 kuna kishindo gani hapo?

Kama sekta nyeti ya TRA network inakatika kutwa nzima kuna kishindo gani hapo?

Makusanyo ya mwezi huu ni bilioni 300 tu.
Wajane mna vituko
 
Awamu ya 6 haina kishindo chochote!

Kama hadi mitambo ya hapo bandarini inatukbukia kwenye maji kuna kishindo gani hapo?

Luku tu imetulaza watu giza siku 5 kuna kishindo gani hapo?

Kama sekta nyeti ya TRA network inakatika kutwa nzima kuna kishindo gani hapo?

Makusanyo ya mwezi huu ni bilioni 300 tu.
-Nyuso za furaha na mioyo iliyojaa matumaini vinarudi kwa kasi kubwa.
-Makusanyo yatokanayo na dhulma/unyang'anyi yatakwisha.
-Makusanyo ya haki na hiyari yataanza kupanda baada ya miezi miwili.
Luka 19: 8- Lakini Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, "Tazama, Bwana, hapa na sasa nitawapa masikini nusu ya mali yangu, na kama nimewadanganya mtu yeyote kwa kitu chochote, nitawalipa mara nne kiasi."

Lakini bado twakumbuka kwa uchungu mkubwa
-Maiti kwenye viroba
-mashambulizi na utekaji wa wanasiasa
-vitisho muda wote na kubambikiwa kesi
-Uhuru wa kukutana kukandamizwa
-Ukandamizaji wa uhuru wa vyombo vya habari
-uhaba wa sukari na kupanda bei1800/- mpaka 2800 ya sasa
-wakulima wa korosho walivyoteseka
-etc
 
-Nyuso za furaha na mioyo iliyojaa matumaini vinarudi kwa kasi kubwa.
-Makusanyo yatokanayo na dhulma/unyang'anyi yatakwisha.
-Makusanyo ya haki na hiyari yataanza kupanda baada ya miezi miwili.
Luka 19: 8- Lakini Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, "Tazama, Bwana, hapa na sasa nitawapa masikini nusu ya mali yangu, na kama nimewadanganya mtu yeyote kwa kitu chochote, nitawalipa mara nne kiasi."

Lakini bado twakumbuka kwa uchungu mkubwa
-Maiti kwenye viroba
-mashambulizi na utekaji wa wanasiasa
-vitisho muda wote na kubambikiwa kesi
-Uhuru wa kukutana kukandamizwa
-Ukandamizaji wa uhuru wa vyombo vya habari
-uhaba wa sukari na kupanda bei1800/- mpaka 2800 ya sasa
-wakulima wa korosho walivyoteseka
-etc
Huna ujualo!

Subiri utaona kila rangi ni suala la muda tu
 
Awamu ya 6 haina kishindo chochote!

Kama hadi mitambo ya hapo bandarini inatukbukia kwenye maji kuna kishindo gani hapo?

Luku tu imetulaza watu giza siku 5 kuna kishindo gani hapo?

Kama sekta nyeti ya TRA network inakatika kutwa nzima kuna kishindo gani hapo?

Makusanyo ya mwezi huu ni bilioni 300 tu.
Mjaneee wa mwendazake upo!?
Unateseka ukiwa unakinda kaburi au legacy!?
 
Back
Top Bottom