residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna awamu ya sita Tanzania. Nafikiri nyote mnaodemka kwa hilo mnapaswa kurejeshwa darasani. Hivyo mjue kabisa hakuna hicho kitu. Mwaka jana tulipiga kura kuchagua awamu ya tano. Kifo cha Rais hakibadili awamu bali kinabadili Rais. Hivyo Samia anaendelea kuwa Rais wa 6 katika awamu ya tano. Muwe mnajifunza na kuelewa. Msiwe mapoyoyo.Ni swali hili. Kipindi cha Hayati kulikuwa na Kipindi cha kishindo cha awamu ya tano. Sasa mbona hamkiendelezi kwenye hii awamu ya Sita? Shida nini!?
Kwishney...!!!Mtengenezaji na mtengenezewa wote RIP
Ila ukoo wenu wote unatafunwa na umasikini na kamwe hamuwezi kuufikia ukoo wake kwa utajiri!Jambazi
Shetani
Kilaza
Muuaji
Mtesaji
Kujipendekeza kwenye awamu ya sita hakulipi tena.Ni swali hili. Kipindi cha Hayati kulikuwa na Kipindi cha kishindo cha awamu ya tano. Sasa mbona hamkiendelezi kwenye hii awamu ya Sita? Shida nini!?
Wewe sukule huyo sadist na kilaza wako mwendazake kabla ya kuwa rais alikuwa hanifikii.Ila ukoo wenu wote unatafunwa na umasikini na kamwe hamuwezi kuufikia ukoo wake kwa utajiri!
Mjane umerudi sio? Sadist na kilaza mwenzio mwendazake amekuachajee? Bado unauza pale Kinondoni?Mama anajijua hana kishindo bali ana full utopolo
Ripoti ya CAG ilivuruga kila kitu baada ya kuonyesha dhahiri bin shayiri kwamba kulikuwa hakuna kishindo cha maendeleo bali KISHINDO CHA UBADHIRIFU WA AWAMU YA 5!! Haijapata kutokea katika historia ya miaka 60 ya Tanzania,Ni swali hili. Kipindi cha Hayati kulikuwa na Kipindi cha kishindo cha awamu ya tano. Sasa mbona hamkiendelezi kwenye hii awamu ya Sita? Shida nini!?
Pole dogo!Wewe sukule huyo sadist na kilaza wako mwendazake kabla ya kuwa rais alikuwa hanifikii.
Njoo nikupe ajira kati ya JNHHP, SGR, Goodwill.
Ukanjanja wa Ayubu RyobaTBC walikuwa na vipindi vitatu (1)kishindo cha awamu ya tano(2)Tunatekeleza(3)Tanzania mpya vyote vilikuwa vya kumsifia na kumtukuza Magufuli.
Amefanya lipi la maana?Mama hapendi show off
Mkuu kama ulikuwa hufahamu ni kwamba, hii ni awamu ya tano ile ile, isipokuwa Rais ndio wa sita.Ni swali hili. Kipindi cha Hayati kulikuwa na Kipindi cha kishindo cha awamu ya tano. Sasa mbona hamkiendelezi kwenye hii awamu ya Sita? Shida nini!?
NiiceNi swali hili. Kipindi cha Hayati kulikuwa na Kipindi cha kishindo cha awamu ya tano. Sasa mbona hamkiendelezi kwenye hii awamu ya Sita? Shida nini!?
Acha kuwatafuta watu ubaya.Ni swali hili. Kipindi cha Hayati kulikuwa na Kipindi cha kishindo cha awamu ya tano. Sasa mbona hamkiendelezi kwenye hii awamu ya Sita? Shida nini!?