TBC kiko wapi kipindi cha kishindo ya awamu ya sita?

TBC kiko wapi kipindi cha kishindo ya awamu ya sita?

Awamu ya 6 haina kishindo chochote!

Kama hadi mitambo ya hapo bandarini inatukbukia kwenye maji kuna kishindo gani hapo?

Luku tu imetulaza watu giza siku 5 kuna kishindo gani hapo?

Kama sekta nyeti ya TRA network inakatika kutwa nzima kuna kishindo gani hapo?

Makusanyo ya mwezi huu ni bilioni 300 tu.
Kamfufue uzikwe wewe ili aje kurekebisha hayo.
Sukuma gang
 
Awamu ya 6 haina kishindo chochote!

Kama hadi mitambo ya hapo bandarini inatukbukia kwenye maji kuna kishindo gani hapo?

Luku tu imetulaza watu giza siku 5 kuna kishindo gani hapo?

Kama sekta nyeti ya TRA network inakatika kutwa nzima kuna kishindo gani hapo?

Makusanyo ya mwezi huu ni bilioni 300 tu.
Polepole anasema hii ni awamu ya 6?
 
Awamu ya 6 haina kishindo chochote!

Kama hadi mitambo ya hapo bandarini inatukbukia kwenye maji kuna kishindo gani hapo?

Luku tu imetulaza watu giza siku 5 kuna kishindo gani hapo?

Kama sekta nyeti ya TRA network inakatika kutwa nzima kuna kishindo gani hapo?

Makusanyo ya mwezi huu ni bilioni 300 tu.
Si CCM wenzio? kumbe unajua kabisa hiko chama chenu kimefeli kila kitu sasa kelele humu kila siku za nini na tatizo umeshalijua.

CCM ifutwe 2025, tuone watu serious wakishika uongozi
 
Si CCM wenzio? kumbe unajua kabisa hiko chama chenu kimefeli kila kitu sasa kelele humu kila siku za nini na tatizo umeshalijua.

CCM ifutwe 2025, tuone watu serious wakishika uongozi
Watu serious ni wapi?

Hawa kina lema wanaoshangilia hangaya kubaka bunge wakifikiri wanamkomoa Ndugai?

Ccm ni mbovu ila hao unaowafikiria ndio hovyo kabisa.
 
Watu serious ni wapi?

Hawa kina lema wanaoshangilia hangaya kubaka bunge wakifikiri wanamkomoa Ndugai?

Ccm ni mbovu ila hao unaowafikiria ndio hovyo kabisa.
CCM mnachekesha sana mnatuita wabovu wakati huo huo wabunge wa CHADEMA wakihamia CCM baraza la mawaziri na manaibu mnawajaza!!! Sasa kama huyo JPM mliemuita mzalendo namba moja alijaza CHADEMA serikalini ndio itakua wewe msafisha vyoo wa stendi utushushe credit??

Watendaji huwa hawabadiliki but sera hubadilika, imagine Rais "serious" na asiyeyumbishwa kama Lissu unadhani hao mafisadi wa CCM watapita wapi?
 
CCM mnachekesha sana mnatuita wabovu wakati huo huo wabunge wa CHADEMA wakihamia CCM baraza la mawaziri na manaibu mnawajaza!!! Sasa kama huyo JPM mliemuita mzalendo namba moja alijaza CHADEMA serikalini ndio itakua wewe msafisha vyoo wa stendi utushushe credit??

Watendaji huwa hawabadiliki but sera hubadilika, imagine Rais "serious" na asiyeyumbishwa kama Lissu unadhani hao mafisadi wa CCM watapita wapi?
Nmekudharau hapo uliposema mimi ni msafisha vyoo wa stendi!

Kwa hiyo hata hoja yako naidharau vile vile
 
Nmekudharau hapo uliposema mimi ni msafisha vyoo wa stendi!

Kwa hiyo hata hoja yako naidharau vile vile
Soma kwa context kwamba kama JPM na SSH wameamini wapinzani kuwa mawaziri sembuse wewe mtu Baki ndio udai CHADEMA haina watu serious??
 
Jana tbc wamesimamia taarabu asilia kuanzia ile saa 4 usiku
 
Akaile kule kaburini. Tena ni moja na nusu, jambazi hadumu, lazima aoze, alijiona Mungu mtu akadhani ataishi milele. Hakukemea alipoitwa Mungu, hakuwakanya walipodiriki kusema Mungu ashuke ajifunze kwa pombe.
Ile trillion 1.5 ya walipa kodi wa Tanzania ndo alikuwa anaitumia kuhonga tbc, kuhonga mahawara zake, kugawa barabarani hovyo hovyo, kununulia binadam waunge mkono juhudi nk, go to hell pombe!
HARAMU POMBE HARAMU ni LAANAKUM yule. Ameangamia.. JEHANAMU..!
 
Back
Top Bottom