Tripple Jay
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 1,012
- 1,939
Hawashindwi hawa kukatisha mechi, yn program zao za vipind hta hazieleweki kbsDakika ya 35' Mpendwa Mtazamaji, tunalazimika kukatisha matangazo kujiunga na wenzetu waliopo viwanja vya Chimwaga kwa ajili ya matangazo ya mkutano mkuu wa CCM ambapo Rais wa JMT ni mgeni rasmi.
Nimecheka sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukisikia kumradhi ujue shughuli imeishia hapo.Dakika ya 35' Mpendwa Mtazamaji, tunalazimika kukatisha matangazo kujiunga na wenzetu waliopo viwanja vya Chimwaga kwa ajili ya matangazo ya mkutano mkuu wa CCM ambapo Rais wa JMT ni mgeni rasmi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dakika ya 35' Mpendwa Mtazamaji, tunalazimika kukatisha matangazo kujiunga na wenzetu waliopo viwanja vya Chimwaga kwa ajili ya matangazo ya mkutano mkuu wa CCM ambapo Rais wa JMT ni mgeni rasmi.
Zitakuwa zile za usikuWanaonesha game 32 na sio zote 64
[emoji23][emoji23]Ndugu mtazamaji tunajiunga na Dr ayoub rioba chacha kuwaletea kipindi cha uzalendo na uanamamujumui wa Africa .
Pamoja naye atakuwepo mrisho mpoto
🤣Dakika ya 35' Mpendwa Mtazamaji, tunalazimika kukatisha matangazo kujiunga na wenzetu waliopo viwanja vya Chimwaga kwa ajili ya matangazo ya mkutano mkuu wa CCM ambapo Rais wa JMT ni mgeni rasmi.
Wameizima nini?Hatimaye wameizima [emoji2][emoji2][emoji2]
No free lunchWameizima nini?
No free lunch
Full HD at 10fps halafu mwaka 2022 huu ni uzwazwa.Sie watazamaji yetu macho, ngoja tuone kama kutakuwa na ukweli au sound kama ilivyo desturi yao.View attachment 2420977
HD ya 10FPS wajinga kweli hawa....Ila TBC mna utani nyie!!! Hii HD ya kiwango gani mliyotuwekea?