TBC kuonesha World Cup, Azam ndio sterling wa hili picha

TBC kuonesha World Cup, Azam ndio sterling wa hili picha

Kama kichwa cha habari hapo juu ni siku chache tuu DSTV walitangaza kuwa wao ndio watahusika na kuonyesha mechi hizo na walitoa onyo kwa vyombo vingine kuonyesha bila idhini yao hii tulijua kabisa mkwara anapigwa azam media.

Azam sasa amekuja na plan B hii kutumia chanel ya taifa tena ya bure kuonyesha kombe la dunia ni kama kuamua mbwai iwe mbwai kila kitu wanafanya azam mpaka studio za wachambuzi ni za azam wao tbc ni kuonyesha tu baasiii.

Na ndio maana chanel ya TBC iliondolewa kwenye mfumo wa bure kwa baadhi ya visimbuzi vya dishi ila wengi wa antena TBC ilikuwepo tena mechi ilikuwa clear HD kabisa hawa hawawezi kuwa tbc tunayoijua sisi.. [emoji16][emoji16]

Sema nn Azam ni mkombozi wa wanyonge bahressa aishi sana akyamama 4 years bila kuangalia tbc hatimae leo nimeangalia TBC.
Sehemu ya roho ya magufuli ilibaki azam kwa mzee bakhresa...

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
hata wafanyaje hawawezi kufikia ubora wa picha wa Dstv: Wakati niko bongo Nilishawahi kuunganisha ving'amuzi viwili kwenye TV moja na baada ya kufanya uwiano (comparison) yangu ya kifundi nikagundua Azam TV ana ubora wa picha wa kiwango cha 720p wakati Dstv ana ubora wa picha kwa kiwango cha 1080p muda sio mrefu ataingia 4K, kwa watu wanaopenda ubora wa picha na content nawashauri watumie DSTV, Azam kinachombeba ni hiyo ligi kuu ambayo nayo haina ubora... but honestly nikiwa bongo naifurahia sana DSTV i dont care about cost i do care the Quality of the content.
Hata dstv content wanazozianda wao kama ligi yao ya absa na azam hawana tofauti tu ila zile content za ulaya wanazonunua ndiyo zina quality kubwa
 
Hata dstv content wanazozianda wao kama ligi yao ya absa na azam hawana tofauti tu ila zile content za ulaya wanazonunua ndiyo zina quality kubwa
Ni kweli unachosema kuhusu quality ya NBC na Absa kwenye picha za matangazo ziko sawa Kwa sababu zote ni HD

Tofauti inakuja sehemu moja tu, katika Absa DStv wanafunga camera nyingi viwanjani kiasi kwamba kunakuwa hakuna matukio ambayo huwezi acha kuona

Kwahiyo quality ni moja ila vitendea kazi ndio tofauti, huku sie kwenye NBC kuna matukio yanatokea mara Kwa mara na kutopatiwa majibu kutokana na kuwa na camera chache
 
Back
Top Bottom