TBC mnampaje mtangazaji kama huyu kazi ya kutangaza tukio la ngazi ya kitaifa?

TBC mnampaje mtangazaji kama huyu kazi ya kutangaza tukio la ngazi ya kitaifa?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
UWT ni jumuiya ya chama, lakini mtangazaji mara kadhaa anarudia kuiita chama cha UWT, ina maana hawa watangazaji hawana usimamizi? Hata huko TBC nani anasikiliza wanachotangaza?

Hivi watangazaji wanapangiwa majukumu kulingana na seniority na ukubwa wa tukio?
 
UWT ni jumuiya ya chama, lakini mtangazaji mara kadhaa anarudia kuiita chama cha UWT, ina maana hawa watangazaji hawana usimamizi? Hata huko TBC nani anasikiliza wanachotangaza?

Hivi watangazaji wanapangiwa majukumu kulingana na seniority na ukubwa wa tukio?

Hovyo kabisa
Chama gani?
 
UWT ni jumuiya ya chama, lakini mtangazaji mara kadhaa anarudia kuiita chama cha UWT, ina maana hawa watangazaji hawana usimamizi? Hata huko TBC nani anasikiliza wanachotangaza?

Hivi watangazaji wanapangiwa majukumu kulingana na seniority na ukubwa wa tukio?

Hovyo kabisa
Hamna shida maana hiyo TV mnanaangalia nyie wazee na watu wasiojua lolote, hivyo hata akikosea hiana madhara.
 
Hamna shida maana hiyo TV mnanaangalia nyie wazee na watu wasiojua lolote, hivyo hata akikosea hiana madhara.
Wewe unaangalia zile tv zinazoonyesha habari za Puff Daddy? Baada ya kuangalia lazima unakuwa mdau kwa kutumika

Huku TBC kuna vipindi vya kilimo, ufugaji, uchimbaji, na hizo nyumba unazopanga hapo sinza na kijitonyama ni za wanaofanya hizo shughuli za kiuchumi.
 
UWT ni jumuiya ya chama, lakini mtangazaji mara kadhaa anarudia kuiita chama cha UWT, ina maana hawa watangazaji hawana usimamizi? Hata huko TBC nani anasikiliza wanachotangaza?
Mkuu chiembe , TBC ni TV yetu ya Taifa, unapolalamikia tatizo lolote la TBC, kwanza tanguliza uzalendo wako kwa taifa lako, kisha unalitaja tatizo uliloona kwa TBC.

Kwenye bandiko hili, umelalamika tuu kama unanenemeka, bila kusema mtangazaji huyo unayemlalamikia amefanya makosa gani ya kiutangazaji hadi wewe kulalamika.

Tuanzie hapa
1. Taja jina la mtangazaji husika
2. UWT ni Jumaiya ya Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, hivyo ni chama cha Wanawake wa CCM, hapo hakuna tatizo lolote,!.
3. Kama kuna tatizo jingine litaje
Hivi watangazaji wanapangiwa majukumu kulingana na seniority na ukubwa wa tukio?
watangazaji hawapangiwa majukumu ya utangazaji kwa seniority bali kwa ability, capacity, capability na talent.
Ability ni uwezo wa utangazaji, kila mtangazaji wa TBC ana uwezo wa kutangaza chochote ndio maana ameajiriwa.
Capacity ni uwezo binafsi wa mtangazaji kuitanga tukio fulani unatofautiana mtu na mtu, kuna wengine wana uwezo mkubwa wengine mdogo.
Capability ni kujengewa uwezo wa kutangaza tukio lolote hivyo watangazaji wote wa TBC wakifika TBC wanapikwa upya. Kukitokea tukio la Msikitini anapekekwa mtangazaji Muislam, la kanisani Mkristu etc
Talents huu ni uwezo binafsi wa kipaji cha mtangazaji kutangaza jambo fulani ndio maana sio kila mtangazaji ni mtangazaji wa habari, mpira, muziki, au kuwa anchor. Watangazaji tofauti wana vipaji tofauti hivyo wanapangiwa kutokana na vipaji vyao.
Seniority ina mater kwenye kukabidhiwa majukumu na madaraka
Hovyo kabisa
Hapa sasa ndipo palihitaji uzalendo
Haiwezekani mazuri yote ya TBC usiyaone na kutukana hovyo kabisa!.
Haya ni baadhi

Sasa hayo yote huyaoni wewe unasema TBC hovyo kabisa!. Its not fair!.

P.
 
Mkuu chiembe , TBC ni TV yetu ya Taifa, unapolalamikia tatizo lolote la TBC, kwanza tanguliza uzalendo wako kwa taifa lako, kisha unalitaja tatizo uliloona kwa TBC.

Kwenye bandiko hili, umelalamika tuu kama unanenemeka, bila kusema mtangazaji huyo unayemlalamikia amefanya makosa gani ya kiutangazaji hadi wewe kulalamika.

Tuanzie hapa
1. Taja jina la mtangazaji husika
2. UWT ni Jumaiya ya Wanawake wa Chama cha Mapinduzi, hivyo ni chama cha Wanawake wa CCM, hapo hakuna tatizo lolote,!.
3. Kama kuna tatizo jingine litaje

watangazaji hawapangiwa majukumu ya utangazaji kwa seniority bali kwa ability, capacity, capability na talent.
Ability ni uwezo wa utangazaji, kila mtangazaji wa TBC ana uwezo wa kutangaza chochote ndio maana ameajiriwa.
Capacity ni uwezo binafsi wa mtangazaji kuitanga tukio fulani unatofautiana mtu na mtu, kuna wengine wana uwezo mkubwa wengine mdogo.
Capability ni kujengewa uwezo wa kutangaza tukio lolote hivyo watangazaji wote wa TBC wakifika TBC wanapikwa upya. Kukitokea tukio la Msikitini anapekekwa mtangazaji Muislam, la kanisani Mkristu etc
Talents huu ni uwezo binafsi wa kipaji cha mtangazaji kutangaza jambo fulani ndio maana sio kila mtangazaji ni mtangazaji wa habari, mpira, muziki, au kuwa anchor. Watangazaji tofauti wana vipaji tofauti hivyo wanapangiwa kutokana na vipaji vyao.
Seniority ina mater kwenye kukabidhiwa majukumu na madaraka

Hapa sasa ndipo palihitaji uzalendo
Haiwezekani mazuri yote ya TBC usiyaone na kutukana hovyo kabisa!.
Haya ni baadhi

Sasa hayo yote huyaoni wewe unasema TBC hovyo kabisa!. Its not fair!.

P.
Mzee wa Pugu Road, hivi bado wanavua viatu kuingia studio? Nakumbuka mkutano wa kila mwaka kati ya TBC ya enzi hizo na waandaa vipindi kutoka taasisi mbalimbali, muhasibu Madeleke, tulikula bata jijini Tanga
 
UWT ni jumuiya ya chama, lakini mtangazaji mara kadhaa anarudia kuiita chama cha UWT, ina maana hawa watangazaji hawana usimamizi? Hata huko TBC nani anasikiliza wanachotangaza?

Hivi watangazaji wanapangiwa majukumu kulingana na seniority na ukubwa wa tukio?

Hovyo kabisa
TBC ni television ya CCM hivyo hakuna ubaya wote ni kusanyiko la shetani tupu
 
UWT ni jumuiya ya chama, lakini mtangazaji mara kadhaa anarudia kuiita chama cha UWT, ina maana hawa watangazaji hawana usimamizi? Hata huko TBC nani anasikiliza wanachotangaza?

Hivi watangazaji wanapangiwa majukumu kulingana na seniority na ukubwa wa tukio?
Ccm hao wenzako
 
UWT ni jumuiya ya chama, lakini mtangazaji mara kadhaa anarudia kuiita chama cha UWT, ina maana hawa watangazaji hawana usimamizi? Hata huko TBC nani anasikiliza wanachotangaza?

Hivi watangazaji wanapangiwa majukumu kulingana na seniority na ukubwa wa tukio?
Kwani kule kuna waandishi wenye akili?
 
Back
Top Bottom