Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diplomasia na siasa ya Tanzania ni kutofungamana na upande wowote na kutoingilia siasa za nchi zingine. Kule Kongo tunalinda Amani na sio chama tawala wala upinzani. Kwa maana hiyo chama chochote kinachoingia madarakani hushirikiana na Serikali yetu, siasa hii imeijengea Tanzania heshima kubwa ndani na nchi. Mifano IPO mingi tangia Zambia, Kenya n.k. TBC na magazeti ya serikali ya Tanzania sio time ya uchaguzi ya Kongo hadi vitangaze matokeo au ushindi na having waandishi wala watangazaji kule Kongo. Usituchonganishe na wakongoNaomba kufahamishwa vituo vya luninga radio na magazeti yanayomilikiwa na ccm na serikali je yana/yametangaza ushindi wa Felix tshisekedi kwamaana nyingine je wametangaza juu ya ushindi wa upinzani? Nasubiri mnijibu
Acha upumbavu kwanza kutokuwa na mwandishi au ripota ni ujuha sio jambo la kujisifiaSi
Diplomasia na siasa ya Tanzania ni kutofungamana na upande wowote na kutoingilia siasa za nchi zingine. Kule Kongo tunalinda Amani na sio chama tawala wala upinzani. Kwa maana hiyo chama chochote kinachoingia madarakani hushirikiana na Serikali yetu, siasa hii imeijengea Tanzania heshima kubwa ndani na nchi. Mifano IPO mingi tangia Zambia, Kenya n.k. TBC na magazeti ya serikali ya Tanzania sio time ya uchaguzi ya Kongo hadi vitangaze matokeo au ushindi na having waandishi wala watangazaji kule Kongo. Usituchonganishe na wakongo
Anzisha redio yako utangaze mambo ya nchi nyingine, redio yetu inatangaza maendeleo ya wananchiEti msichonganishwe na wakongo we kweli ppm hao wanaotangaza wao wsnawachonganishaje?
ukiritimba usio na maana
Kuna mataifa yana maslahi Kongo kupora rasilimali hasa madini, hao wana interest na uchaguzi wa Kongo, kaungane nao mtangaze matokeo hayo. Akili za kudownload kaziupdateNdio upuuzi mnaoujenga tz eti maendeleo ya wananchi my foot nchi inaendeshwa kishamba mnaona poa