Nchi inaendeshwa kishamba nawe mshamba bado umo tu?, hamia Kongo, katiba inaruhusu mtanzania kuishi popote, nenda kama Tanzania inakukeraNdio upuuzi mnaoujenga tz eti maendeleo ya wananchi my foot nchi inaendeshwa kishamba mnaona poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi inaendeshwa kishamba nawe mshamba bado umo tu?, hamia Kongo, katiba inaruhusu mtanzania kuishi popote, nenda kama Tanzania inakukeraNdio upuuzi mnaoujenga tz eti maendeleo ya wananchi my foot nchi inaendeshwa kishamba mnaona poa
Poor
Poor creature south of the Sahara desert
Ngoja tushike nchi mtaona tutakavyoibadilishaNchi inaendeshwa kishamba nawe mshamba bado umo tu?, hamia Kongo, katiba inaruhusu mtanzania kuishi popote, nenda kama Tanzania inakukera
Ngoja tushike nchi mtaona tutakavyoibadilisha
demokrasia
maendeleo
amani bila hofu ya kutekwa nk
Kuna mataifa yana maslahi Kongo kupora rasilimali hasa madini, hao wana interest na uchaguzi wa Kongo, kaungane nao mtangaze matokeo hayo. Akili za kudownload kaziupdate
Asante kwa kunisaidia mkuuHata sisi tuna maslahi na Congo. Wanatumia badari yetu. Wanakuja kununua vitu mbakimbali ikiwa na maana ya biashara. Wengine wanafanya kazi Tanzania na kutulipa kupata work permit karibu dola 1000 kama sijakosea. Unasemaje hatuna na masilahi?
Sent using Jamii Forums mobile app