TBC na sera ya pongezi kwa mama Samia

TBC na sera ya pongezi kwa mama Samia

bnhai

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2009
Posts
2,832
Reaction score
2,390
Tanzania yapo matatizo mengi ambayo yanahitaji uhamasishaji na vichochezi ili wananchi wachangamkie fursa au waweze kutoka katika hali husika.

TBC licha ya kuwa wanatumia fedha za walipa kodi, hawatengezi vipindi vyenye muelekeo wa kuhamasisha vijana au kutatua kero zilizopo.

Ukifuatilia vipindi vyote, utaona vina dhima moja tu, pongezi kwa mama, tozo na blah blah nyingine.

Hivi hakuna ubunifu?
Hawa TBC wamewahi kufanya tathmini na kujiuliza kama wanasonga mbele au kurudi nyuma? Idadi ya watazamaji imeongezeka?

Kuna makosa mengi madogo madogo kwenye taarifa zao. Mf. No caption za kuwatambua wanaozungumza etc.

Huwezi kuwa na kituo chenye maudhui moja tu ya mama Samia.

Wote wanaohojiwa juu ya kitu fulani, utasikia tunampongeza mama Samia. Oh.
Sie vyema kuwaambia wananchi waseme nini.

Lakini dhana ya vipindi na pongezi za hivi, ni ya hovyo.
 
Wakati wa Magu kulikuwa mtangazaji mmoja na kipindi chake cha 'Mzalendo namba moja John Joseph Pombe Magufuli kila siku achilia mbali vipindi vya 'Kishindo cha Awamu ya Tano'
Ayubu ni chawa numero uno
 
...wa legacy sasa hivi mnaanza kukereka na vipindi vya TBC!? Angalieni tu kama kipindi kile cha Mwendazake.
Si kila anayekosoa ni mfuasi wa mwendazake, wapo wengi hatukufurahishwa na wakati ule vipinndi vya tbc vya kusifia na bado hatufurahishwi na vipindi vya Sasa vya kusifia
 
Angalia chanell nyingine mkuu usije kupata ugonjwa wa moyo
Hawa jamaa wanakula kodi zetu ila mambo yao ya hovyo. Chama kimeshika hatamu. Waje na ubunifu. Nchi inahitaji kusonga mbele. Walete CEO au wajasiriamali wanaoweza ku inspire.
Waoneshe fursa.
 
...wa legacy sasa hivi mnaanza kukereka na vipindi vya TBC!? Angalieni tu kama kipindi kile cha Mwendazake.
Bahati mbaya ujinga huu umekuwepo muda mrefu. Halafu na sisi ni km tumepigwa ganzi. Hizi TV huwa wanafanya survey kweli? Wamekaza shule, hospitali inazinduliwa.
Na mama na yeye aache kuwa Rais mzinduzi
 
Televisheni ya taifa... so technically ni televisheni ya serikali. You dont bite the hand that feeds you
 
"Ahsante mama kwa daraja jipya la wami". Hilo ni bango liko barabarani.
 
Wakati wa Magu kulikuwa mtangazaji mmoja na kipindi chake cha 'Mzalendo namba moja John Joseph Pombe Magufuli kila siku achilia mbali vipindi vya 'Kishindo cha Awamu ya Tano'
Ayubu ni chawa numero uno
Yaani lile zee ujue ni dizain kama ya Musiba sipiriani jitu lilikua linampamba Mwenda zake mpaka noma sasa hivi limerudi kivingine kifupi TBC japo hatuwezi kuwapangia la kufanya lakini mnaboa mno hamuwezi kutwa nzima habari za Mama ooh anaupiga mwingi mara sijui nn lakini ukweli mnaujua kabisa huku mtaani kinaendelea nini muwe mnakua wawazi Haturidhishwi na mwenendo wenu na binafsi nawatizama pale tu ninapokuwa nimeishiwa kifurushi TBC ni upuuzi mtupu namalizia kwa kusema hivyo

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Tanzania yapo matatizo mengi ambayo yanahitaji uhamasishaji na vichochezi ili wananchi wachangamkie fursa au waweze kutoka katika hali husika.

TBC licha ya kuwa wanatumia fedha za walipa kodi, hawatengezi vipindi vyenye muelekeo wa kuhamasisha vijana au kutatua kero zilizopo.

Ukifuatilia vipindi vyote, utaona vina dhima moja tu, pongezi kwa mama, tozo na blah blah nyingine.

Hivi hakuna ubunifu?
Hawa TBC wamewahi kufanya tathmini na kujiuliza kama wanasonga mbele au kurudi nyuma? Idadi ya watazamaji imeongezeka?

Kuna makosa mengi madogo madogo kwenye taarifa zao. Mf. No caption za kuwatambua wanaozungumza etc.

Huwezi kuwa na kituo chenye maudhui moja tu ya mama Samia.

Wote wanaohojiwa juu ya kitu fulani, utasikia tunampongeza mama Samia. Oh.
Sie vyema kuwaambia wananchi waseme nini.

Lakini dhana ya vipindi na pongezi za hivi, ni ya hovyo.
Hapo bado ndugu....subiri kipindi cha uchaguzi mkuu ndio utajua hujui

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Wakati wa mwendazake walikuwa na kipindi chake ...kilikuapia kinaimba mapambio ya kumfurahisha mwendazake
 
Wakati wa mwendazake walikuwa na kipindi chake ...kilikuapia kinaimba mapambio ya kumfurahisha mwendazake
Huu ni mkakati wa ujinga. Ukiangalia DG wao na huo ubunifu wake. Wangekuwa hata na ubunifu kwenye mambo mengine. Sio jambo moja. Hivi audience ndio wanachotaka kwao? Otherwise, watatumia rasilimali nyingi na tija hakuna.
 
Back
Top Bottom