TBC naombeni uzalendo muoneshe Mechi ya Stars vs Uganda

logframe

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
4,242
Reaction score
5,543
Ili kodi za watanzania kila mtu, wakiwemo watoto wapenzi wa soka, Basi leo Dakika 90 tu nawaomba mechi hii muoneshe maana ni wazalendo na hata asiye na salio la kifurushi afurahie kodi yake.
Tuungane kuisapoti Taifa Stars na sio kusubiri ishinde.
Uzi Tayari.
CC: Ayoub Ryoba (PhD)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika mahali kodi yangu yatumika vibaya ni TBC kwanza imekaa kizaman zamani tu ,kutwa nzima kumsifia jiwe ,wao na ccm tu,wako radhi hata wadanganye ilimradi wajipendekeze kwa jiwe.

Mechi ya muhimu kama hi wao walivyo wa**nge hawataionesha nadhani
 
Hahahaha yaani mnakaa kabisa mnasubiri tbcccm ionyeshe mpira wa stars?

Waache kurusha makandokando ya sisiemu na yule jamaa waonyeshe mpira?

Labda jamaa awaruhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ombi lako limesikilizwa. Taifa Stars oyeeeee!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…