logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,242
- 5,543
Ili kodi za watanzania kila mtu, wakiwemo watoto wapenzi wa soka, Basi leo Dakika 90 tu nawaomba mechi hii muoneshe maana ni wazalendo na hata asiye na salio la kifurushi afurahie kodi yake.
Tuungane kuisapoti Taifa Stars na sio kusubiri ishinde.
Uzi Tayari.
CC: Ayoub Ryoba (PhD)
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuungane kuisapoti Taifa Stars na sio kusubiri ishinde.
Uzi Tayari.
CC: Ayoub Ryoba (PhD)
Sent using Jamii Forums mobile app