TBC: Wadau karibuni tuichangie Taifa Stars

Chibolo

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
5,181
Reaction score
6,813
karibuni tuungane wote kufuatilia kampeni ya kuichangia Team yetu ya Taifa stars kwenda lesotho kushiriki michezo ya Afcon

kampeni inaendeshwa na mhe.waziri wa michezo kaka yetu Dr.Harisson Mwakyembe


atakayetaka kuchangia atumie wakala wa Airtel namba 442442

mchango wowote unapokelewa.....kuchangia ni moyo!!


K A R I B U N I....
 
Karubuni tufuatilie kampeni ya moja kwa moja inayorushwa na kituo cha utangazaji cha Tbc chini mhe.waziri wa michezo kaka yetu dr.mwakyembe ya kuichangia timu yetu ya TaifaStars ili iweze kushiriki michezo ya Afcon nchini lesotho tarehe 18/11/20018

Atakayehitahi kuichangia atumie namba ya wakala ya airtel na.442442

Karibuni sana vijana wetu tuwachangie.
 
Huyo kyembe atuambie kwanza pesa za wakulima wa korosho zilipelekwa wapi.
 
Sitachangia na siwezi kuchangia maana haikawii kupangiwa matumizi mengine, siwezi tokea tetemeko la Kagera
 
Nimemsikia Japo kwa kifupi Nauli mashabiki 150000(laki na busy) kwa Bus
 
Kwani Taifa halikusanyi kodi? Tunaanzaje kuchagishana kwani Taifa star imekua kilabu ya binafsu kama Simba au Yanga? Hiyo ni aibu kwa Taifa....kama mbunge mmoja anannuliwa kwa zaidi ya million 400m, taifa star inakosaje pesa.
 
Kwani Taifa halikusanyi kodi? Tunaanzaje kuchagishana kwani Taifa star imekua kilabu ya binafsu kama Simba au Yanga? Hiyo ni aibu kwa Taifa....kama mbunge mmoja anannuliwa kwa zaidi ya million 400m, taifa star inakosaje pesa.
Kutoa ni moyo.........!
 
Hivi zile pesa ziko wapi!??
1.Tulizo wanyang'anya mafisadi?
2.Tulizookoa baada ya kuondoa watumishi hewa
3.Za kwenye madini
4.Faida za ATCL
5.Kodi zetu watumishi
6.Kodi za wafanya biashara
7.Mbuga za wanyama
8 Alizookoa kwa kutosafiri nje ya nchi
9. Za makinikia
10 .Za viwanda 3000 vya mwijage
11.Kishika uchuma kutoka kwa WANAUME ACACIA
12.Bandari yetu
WOTE WANAOCHANGIA TAIFA STARS NI MANG'OMBE TU WASIOJITAMBUA!
 
Kwani Taifa halikusanyi kodi? Tunaanzaje kuchagishana kwani Taifa star imekua kilabu ya binafsu kama Simba au Yanga? Hiyo ni aibu kwa Taifa....kama mbunge mmoja anannuliwa kwa zaidi ya million 400m, taifa star inakosaje pesa.
Mungu atunusuru na huu utawala wa kishetani
 
Pesa zinazopatikana kwenye viwanja vya mpira ambavyo CCM ilivyopora zinatosha kupelekwa timu ya taifa.
 
Aibu sana eti tuchangie hela ya mafuta kwa mabasi mawili,Aibu kwelikweli
Kama ni aibu kwanini hela yote isitoke mfukoni kwako ukaisitiri nchi yako?. Taifa Stars ikishindika na wewe utaishangilia kama wengine. Punguzeni kuishi na vinyongo kama wake wenza.
 
Ulisikia wapi duniani timu ya Taifa lenye Amani, uchumi unaokua kwa kasi inapigiwa harambee.
Wananchi wanalipa kodi, Serikali ina vyanzo tele vya mapato, gate collection's ya michezo yoote ya ligi kuu inakwenda Serikalini.
Viwanja vyote vya mpira inyang'anywe CCM virudi kuwa mali ya Serikali maana havikujengwa kwa fedha za CCM bali nguvu za wananchi ambao leo hii ni CDM, CUF,CCM, UDP, CHAUMA nk, hapa kuna vyanzo vingi sana vya mapato ambavyo vingeisaidia timu yetu Taifa na kukuza vipaji vya watoto wetu kila mkoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…