Ahahahahahahaaaaaah hadi habari za JK zinagoma, kwa kweli hali ni mbaya.
TIDO anajua kibarua chake kitaota nyasi baada ya 31st oct so lazima ajikombe kwa JK ili asije kuwamo ktk kundi la wasaliti
Tbc wanafurahisha sana, hasa pale wanapojaribu kuukwepa umati wa watu wanapotangaza habari za sLAA. NAOMBA KUWASHAURI WAACHANE TU NA HABARI ZA SLAA. Zitawatesa sana,