Elections 2010 TBC waumbuka...

Ahahahahahahaaaaaah hadi habari za JK zinagoma, kwa kweli hali ni mbaya.

.
Kwa hili tayari watakuwa wameisha consult sheikh Y kuulizia maana ya huku kugoma.
 
Hivi ni kwa nini Ansbert Ngurumo asijiweke sawa tayari kuichukua nafasi ya Tido hapo TBC1 tv ya umma?
 
Kazi wanayo Tibisiii, sijui watakuwa wanamuangaliaje bosiwao huo mwezi wa kumi.
 
TIDO anajua kibarua chake kitaota nyasi baada ya 31st oct so lazima ajikombe kwa JK ili asije kuwamo ktk kundi la wasaliti


Yaani umeniwahi kweli nilitaka kusema hivyohivyo.
 
TBC cannot and won't stop the move which is going now to MAKE THE CHANGES WE CAN BELIEVE IN THIS COUNTRY NOW AND FOREVER!!!
GOD BLESS CHADEMA, GOD BLESS DR.SLAA, GOD BLESS TANZANIA AND GOD BLESS AFRICA.
 
Tbc wanafurahisha sana, hasa pale wanapojaribu kuukwepa umati wa watu wanapotangaza habari za sLAA. NAOMBA KUWASHAURI WAACHANE TU NA HABARI ZA SLAA. Zitawatesa sana,

Slaa awatese mara ngapi? yaani ashawatesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…