TBC yapotosha umma makusudi msemaji wa W.H.O hakusema kabisa eti lockdown haijasaidia kupunguza virus vya Covid-19. Swali na jibu haliusiani kabisa na Lockdown kama waliyoelezea TBC kwenye video hii:
Na wala msemaji haongelei kabisa eti kwamba ''lockdown haijazaa matunda ya kupunguza Covid -19 virus''... It complete misleading. Yeye anaongelea dalili tofauti za ugonjwa kwa wagonjwa tofauti na mazingira tofauti. Kama ni nchi ingine msemaji anaweza kuwashtaki TBC kwa kupotosha anachosema. Kwa nini TBC si wanatangaza vitu vya uongo faida yake nini? Baadhi ya wananchi wanaangalia habari hizi na madhara yake wanaweza wasiwe waangalifu kwa afya zao kwa kuamini walichosema TBC.
Hii hapa video kwenye hii post ndiyo walioitumia TBC kuelezea uongo wao.... Sasa angalieni na sikilizeni muuliza swali na msemaji wa WHO.
Ni ushenzi mkubwa sana kudanganya ili ku-score cheap political points. WHO hatujasema hivyo. Propaganda zenu zimevuka mpaka sasa. Mnaweza kupata vyeo kwa kufanya kazi siyo kwa kujikomba na kudanganya. Sawa? Lockdown zimesaidia sana kwa taarifa yenu. COVID-19 is an infectious/contagious disease which is slowed down by minimization of contact. Hata darasa la 7 anajua hilo. Sasa ujinga gani huu wa kusema kuwa WHO wamesema lockdown hazikufanya kazi! Kila siku mnapanga watu hapo TBC wa kupiga pambio na kusifia. Eti nchi zenye kulegeza lockdowns zimeiga Tanzania. Kweli? New Zealand, UK, Singapore, nk wametoa lockdown kwa kuiga Tanzania. Mav* yenu. Kwanza wanajua kuwa kuna nchi duniani inaitwa Tanzania?
Ni ushenzi mkubwa sana kudanganya ili ku-score cheap political points. WHO hatujasema hivyo. Propaganda zenu zimevuka mpaka sasa. Mnaweza kupata vyeo kwa kufanya kazi siyo kwa kujikomba na kudanganya. Sawa? Lockdown zimesaidia sana kwa taarifa yenu. COVID-19 is an infectious/contagious disease which is slowed down by minimization of contact. Hata dara la 7 anajua hilo. Sasa ujinga gani huu wa kusema kuwa WHO wamesema lockwodn hakufanya kazi!