UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Sasa unadhani wewe kutofuatilia hiyo TBC kwao ni jambo kubwa?I dont care. Kwangu kodi ni kakitu kadogo.. so that is normal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unadhani wewe kutofuatilia hiyo TBC kwao ni jambo kubwa?I dont care. Kwangu kodi ni kakitu kadogo.. so that is normal
Ni ushenzi mkubwa sana kudanganya ili ku-score cheap political points. WHO hatujasema hivyo. Propaganda zenu zimevuka mpaka sasa. Mnaweza kupata vyeo kwa kufanya kazi siyo kwa kujikomba na kudanganya. Sawa? Lockdown zimesaidia sana kwa taarifa yenu. COVID-19 is an infectious/contagious disease which is slowed down by minimization of contact. Hata darasa la 7 anajua hilo. Sasa ujinga gani huu wa kusema kuwa WHO wamesema lockdown hazikufanya kazi! Kila siku mnapanga watu hapo TBC wa kupiga pambio na kusifia. Eti nchi zenye kulegeza lockdowns zimeiga Tanzania. Kweli? New Zealand, UK, Singapore, nk wametoa lockdown kwa kuiga Tanzania. Mav* yenu. Kwanza wanajua kuwa kuna nchi duniani inaitwa Tanzania?
Hicho kijamaa kina kiherehere sanaHata lugha kwako haipendi,kazi kulipuka tu kama baruti.
Muulize Polepole atakufa fanulia,kisha uendelee kusifu na kuabudu.
Unadhani mimi inanihusu? NopeSasa unadhani wewe kutofuatilia hiyo TBC kwao ni jambo kubwa?
Inakuhusu kwa sababu kodi yako wakula kama kawaida halafu pia hawajari kama kuna mtu kasusa kuwaangali.Unadhani mimi inanihusu? Nope
Hainuhusu. Ndio maana I don't care. Kama kodi wanakatwa wote. Sijawahi kuuumwa sababu nimelatwa kodi. Kwangu ni ishu ndogo sanaInakuhusu kwa sababu kodi yako wakula kama kawaida halafu pia hawajari kama kuna mtu kasusa kuwaangali.
Ni lini uliyasifia mazuri?Yaani unataka kila mtu asifie hata madhaifu?
Ni lini uliyasifia mazuri?
Sasa unadhani wewe kutofuatilia hiyo TBC kwao ni jambo kubwa?