Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,292
- 7,867
Ndugu wanabodi wakati kombe la Dunia likielekea ukingoni Kuna vitu vimenivutia. Baadhi ya vitu hivyo ni watangazaji na wachambuzi. Hapa unakutana na NAZARETH UPETE Kama mtangazaji na huku RAMADHAN MBWADUKE Kama mchambuzi.
Hawa jamaa ni hatari na nusu hasa mchambuzi anakuchambulia wachezaji wote background zao, mfumo wa kocha, Nini wafanye Ili kushinda bila kuegemea upande Wala kuingiza ushabiki mpaka unapenda dk ziongezwe.
Masikitiko yangu ni kuwa huyu dingi RAMADHAN MBWADUKE na mwenzake NAZARETH UPETE hatutawasikia Tena baada ya hili mbungi. Kama ingewapendeza TBC waturushiage hata mechi mbili Kwa wiki sio mbaya Ili tunufaike nao.
Leo watakuwa liveView attachment 2434450
Hawa jamaa ni hatari na nusu hasa mchambuzi anakuchambulia wachezaji wote background zao, mfumo wa kocha, Nini wafanye Ili kushinda bila kuegemea upande Wala kuingiza ushabiki mpaka unapenda dk ziongezwe.
Masikitiko yangu ni kuwa huyu dingi RAMADHAN MBWADUKE na mwenzake NAZARETH UPETE hatutawasikia Tena baada ya hili mbungi. Kama ingewapendeza TBC waturushiage hata mechi mbili Kwa wiki sio mbaya Ili tunufaike nao.
Leo watakuwa liveView attachment 2434450