TBC1 ni shirika bovu zaidi la utangazaji duniani

TBC1 ni shirika bovu zaidi la utangazaji duniani

Katika taarifa yao ya habari wametoa wanayoita orodher ya MASPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?

Hawa waandishi wamekaa kuitetea serikali mpaka wanasahau mambo ya muhimu ya kazi zao. Uzembe sana. Television ya taifa haijui hata historia vilaza sana
Kuna Mtu alikulazimisha Kuiangalia ( Kuitizima ) hiyo TBC1 mpaka Mapovu yakutoke 'Kipopoma' hivi?
 
namuomba mkurugenzi wa TBC aondoa watangazaji hapo jikoni maana kila mmoja macho yake kwenye jiko nitengenezee hiki na hiki hawako sirias na kazi zao kipindi cha magazeti asubuhi walafi sana
 
Katika taarifa yao ya habari wametoa wanayoita orodher ya MASPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?

Hawa waandishi wamekaa kuitetea serikali mpaka wanasahau mambo ya muhimu ya kazi zao. Uzembe sana. Television ya taifa haijui hata historia vilaza sana
TENA HAWANAGA HATA AIBU YAANI NI HOVYO KABISA !!!!!!!!!
NILITEGEMEA DR RYIOBA ANAWEZA FANYA MABADILIKO NAE AMEKUWA WALEWALE !!!!!
 
Katika taarifa yao ya habari wametoa wanayoita orodher ya MASPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?

Hawa waandishi wamekaa kuitetea serikali mpaka wanasahau mambo ya muhimu ya kazi zao. Uzembe sana. Television ya taifa haijui hata historia vilaza sana
Vilevile uckivu wa redio ya taifa co mzuri hasa cc tu naishi mbali na mijini redio haickiki vizur wanashindwa na vijiredio vidogo vidogo km jembe fm, sengerema fm, storm fm. Hii ni aibu kwa taifa.
 
Ila lina watangazaji wakali wa kike balaa. Huwa napigaga puli nikiona wameva zile nguo zinazowachora hasa yule bimti nasikia wa Tanga yule
 
Si bora Hilo shirika linaudhi tu! Njoo ukutane na ATCL umekata tiketi kuwahi mkutano na wewe ndo unafanya presentation au mwenyekiti wa mkutano. Utaambiwa ndege moja amechukua mama, nyingine PM, nyingine Mpango, nyingine tunamsubiri Mwigulu amalizie kuandaa documents tusafiri naye.
[emoji23][emoji1787]
 
Back
Top Bottom