ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Fahari ya Startimes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta mganga wa jadi akupunge mapepo.Kutazama tu hiyo kitu tayari una homa.nilipita tu kwa mjomba kumsalimia nikakuta anaangalia
Kuna Mtu alikulazimisha Kuiangalia ( Kuitizima ) hiyo TBC1 mpaka Mapovu yakutoke 'Kipopoma' hivi?Katika taarifa yao ya habari wametoa wanayoita orodher ya MASPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?
Hawa waandishi wamekaa kuitetea serikali mpaka wanasahau mambo ya muhimu ya kazi zao. Uzembe sana. Television ya taifa haijui hata historia vilaza sana
TENA HAWANAGA HATA AIBU YAANI NI HOVYO KABISA !!!!!!!!!Katika taarifa yao ya habari wametoa wanayoita orodher ya MASPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?
Hawa waandishi wamekaa kuitetea serikali mpaka wanasahau mambo ya muhimu ya kazi zao. Uzembe sana. Television ya taifa haijui hata historia vilaza sana
Unamsingizia mjomba,sema kweli tu uwe huru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilipita tu kwa mjomba kumsalimia nikakuta anaangalia
Vilevile uckivu wa redio ya taifa co mzuri hasa cc tu naishi mbali na mijini redio haickiki vizur wanashindwa na vijiredio vidogo vidogo km jembe fm, sengerema fm, storm fm. Hii ni aibu kwa taifa.Katika taarifa yao ya habari wametoa wanayoita orodher ya MASPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Na kwa ujinga uliotukuka wakaanzia orodha hiyo tangu mwaka 1953. SASA UNAJIULIZA HUO MWAKA KULIKUWA NA NCHI INAITWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.?
Hawa waandishi wamekaa kuitetea serikali mpaka wanasahau mambo ya muhimu ya kazi zao. Uzembe sana. Television ya taifa haijui hata historia vilaza sana
[emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38]pole sana.
Mpaka sasa unaangalia/sikilliza hiyo takataka?
[emoji23][emoji1787]Si bora Hilo shirika linaudhi tu! Njoo ukutane na ATCL umekata tiketi kuwahi mkutano na wewe ndo unafanya presentation au mwenyekiti wa mkutano. Utaambiwa ndege moja amechukua mama, nyingine PM, nyingine Mpango, nyingine tunamsubiri Mwigulu amalizie kuandaa documents tusafiri naye.
Siyo ya taifa, ni ya ccmTelevision ya taifa haijui hata historia vilaza sana