ngwilulupi
Member
- Jul 10, 2009
- 10
- 1
Nasikia hadi bamboo bar kinondoni hakuna!
Lakini mi naon ahisaidii chochote kwani TBL wanajiaribia biashara wenyewe! Juzi tumeenda Maeda bar sinza wakasema hawana Serengeti, tulikuwa kama mtu 8 watano wanakunywa Serengeti watatu fire extinguishers za TBL, ikabidi tuamie Shein bar na wahikaji wetu wapenzi wa TBL kwani tusingeweza tengana!
Naomba Mungu huu ushenzi usihamie Nyamachabez. Itakuwa balaa.
now you guys are talking mimi nafikiri tuanzishe kampeni maana watu wakikosa bia kwenye baa moje watahamia kwingine. TBL inabidi waende shule kujifunza jinsi ya kusoma alama za nyakati. wakati wa apartheid umekwisha maana huu ukaburu ndio walikuwa waiitumia kabla ya uhuru wa SA.
inabidi waelewe watanzania wameenda shule watawadanganya hao hao wadogo na wenye baa kujiharibia wenyewe. Nimesikia SBL wakiingia ubia na DIAGEO/EABL products zao zitakuwa Johny Walker zote red/black/blue na green, baileys, vat 69, smirnoff vodca, smirnoff ice, captain morgan, tusker, white cap light, white cap, alvaro, malta guiness na mazagazaga mengine
SBL watatisha maana nasikia pamoja na taifa stars Tusker project fame itakuwa yao, tusker cup yao, malta street dancer yao..kasheshe watu watajinyonga humu!
Lakini mi naon ahisaidii chochote kwani TBL wanajiaribia biashara wenyewe! Juzi tumeenda Maeda bar sinza wakasema hawana Serengeti, tulikuwa kama mtu 8 watano wanakunywa Serengeti watatu fire extinguishers za TBL, ikabidi tuamie Shein bar na wahikaji wetu wapenzi wa TBL kwani tusingeweza tengana!
na jana nilikuwa hongera baa sinza hamna, tukaenda topland bar magomeni hola, tukahamia highway bar nako patupu kasheshe hupati Chui kafichika! ila nafikiri akitoka huyu chui atauma sana watu. Chuiiiiiii uko wapi
leaves can be made into medicine!! hahaah Heshima mbele.Unajua tangu Serngeti inaanza TBL walidharau sana na kuona hawatafika mbali,sasa wameshtuka kuona duh vibwana mdogo vinakuja juu kweli kweli na one brand? sasa wananza visa vya bi mkubwa, ujue makaburu wanataka kuona wao pekee ndio wanongoza kwa kila kitu hapa afica kam si duniani,ukitaka kubisha angalia banks, migodi,shopping malls,yani huwa wanaingia kuuwa viliyopo,sasa hili la mchezo mchafu kuzuia vilaji vya watu is too much, basi watanzania tuwasuse kama hawawezi kuwa na adabu!wanapata hela nyingi sana lakini huwezi amini wafanyakazi wanateseka kifwedha ni noma, wapo wachache wezi kama watu wa makerting,sales basi,kama wataka kujua uliza mfanyakazi ndani ya tbl usikie miyeyusho yake,utakimbia!!
na jana nilikuwa hongera baa sinza hamna, tukaenda topland bar magomeni hola, tukahamia highway bar nako patupu kasheshe hupati Chui kafichika! ila nafikiri akitoka huyu chui atauma sana watu. Chuiiiiiii uko wapi
Nasikia hadi bamboo bar kinondoni hakuna!