TBL na Serengeti Bia

TBL na Serengeti Bia

Kaka nina kaugonjwa kakusahau kidogo! Huu ubeti ni ule wa AKUDO ama tangazo jipya la chui. Ila tuache utani Chui anafunika mkUU!

Tangazo jipya mkuu. Hapa nilipo koo linakwaruza. Nikitoka hapa breki ya kwanza kaunta. Raha yake umimine chupa nzima kwenye glasi kubwa wakati unaigida mhudumu anakuwa njiani analeta nyingine. Serengeti, achana nayo mkuu. Ni kitu kingine kabisa. Hakilinganishwi na kingine.
 
Tangazo jipya mkuu. Hapa nilipo koo linakwaruza. Nikitoka hapa breki ya kwanza kaunta. Raha yake umimine chupa nzima kwenye glasi kubwa wakati unaigida mhudumu anakuwa njiani analeta nyingine. Serengeti, achana nayo mkuu. Ni kitu kingine kabisa. Hakilinganishwi na kingine.

Mimi ndo wamenipatia kwa kuleta vile vi-starret, make situmii glass, samtym vinakuja double double. Enzi zile za fire extinguisher za TBL ilikuwa ni hang-over mtindo mmoja!
 
Nasikia bia ya ndovu ni uzuri wa mkakasi tu, wameongeza alch kutoka 4.2 to 4.8

juu ya hapo wakaipunguza content kutoka 500ml kuwa 375ml,afu wameweka urembo wa dhahabu hivi kuizungushia chupa kwa juu hadi kwenye kizibo,yaani wameharibu,ngoja leo nitest ka serengeti
 
juu ya hapo wakaipunguza content kutoka 500ml kuwa 375ml,afu wameweka urembo wa dhahabu hivi kuizungushia chupa kwa juu hadi kwenye kizibo,yaani wameharibu,ngoja leo nitest ka serengeti

Grrrrrrrr! Usituletee habari ya extinguishers!
 
juu ya hapo wakaipunguza content kutoka 500ml kuwa 375ml,afu wameweka urembo wa dhahabu hivi kuizungushia chupa kwa juu hadi kwenye kizibo,yaani wameharibu,ngoja leo nitest ka serengeti

hii hapa mimi naweza kuiongelea namna hii,kuna makundi mawili hapa wameathirika na kuchange kwa ndovu,
1.Kundi la kwanza ni wale vichwa panzi yani wapenda low alcohol, hapa wameumia kwani sasa ni 4.8v/v
2. Kundi la pili ni wale wanywa Heinken, hawa wamepata faida mara mbili, kwanza ujazo umeongezeka (badala ya 300ml sasa ni 375ml) pili bei badala ya 2500 now ni 1500tsh.Sasa hapa atleast tbl wamekuja kwa ushindani unaotakiwa kupambana na Heinken na Serengeti kwaq wakati moja!Haya mimi since last week Heinken ukweli sijanywa hutu tundovu kama heinken vile,ngoja nitest tena leo nione kama ladha ni ile ile na ubora kama upo vile vile
 
Kuna mbinu nyingi za marketing, lakini hii hapa ni mbinu chafu na ya kipumbavu!

Kwanini wasitafute tu mazingira yatakayofanya wauze products zao kirahisi, kuliko kumzuia muuzaji asiuze?

Kwa wanywaji wasiobadili misimamo yao ya unywaji wataitafuta bia hiyo hadi waipate, hata kama itawagharimu kutoka Sanawari hadi kwa Morombo!


Msuli huu ungetumika kupinga ufisadi, bila shaka tungekuwa mbali ati!!
 
Serengeti serengeti , muda umewajia na raha zianzeeee, furaha na chui chui, rafiki wa marafiki yeaah! Mshkaji wa washkaji...chui chui mezaniiiii....

Serengeti serengeti ....serengeti serengeti...hilo ndio tangazo jipya la serengeti
 
Mh... mmejaribu kuongea ok Lakini CASTLE LAGER Usipime NI TAAAMU HIYOOOOOOOOO JARIBU UONEE.
 
Mh... mmejaribu kuongea ok Lakini CASTLE LAGER Usipime NI TAAAMU HIYOOOOOOOOO JARIBU UONEE.

Extinguishers ziko za aina nyingi. Castle ni aina mojawapo. Serengeti ni bia. Na ndiyo inaongelewa hapa.
 
Nchi yenye beer nyingi na zenye kiwango ni Belgium, nchi inayosifika kwa utengenezaji wa beer bora duniani ni Germany, Twende pamoja sasa, bwew Masters wa Serengeti ni Wajerumani na serengeti beer inatengezwa kwa kiwango na techologia ya Kijerumani vilevile wanaye brew master kutika belgium anayesimamia ubora wa Stella beer, hawa jamaa wako vizuri.

Management:-
Director-Muhindi from India
Director of Marketing - Muhindi from India
Director of Sales - Muhindi from India
Marketing Manager - Muhindi from India
Sales Manager - Muhindi from India

Serengeti ni beer nzuri, haina sukari, lakini sisi kama watanzania tunajivunia nini na beer hii ya serengeti.

Mmiliki wa Serengeti ndiyo yule yule mmiliki wa Bank M na ZEN advertising, huyu jamaa hela ya kuanzishia serengeti mmajua ilipotoka........, wapiga kura bana.

Tuendelee.

MJ
 
Nchi yenye beer nyingi na zenye kiwango ni Belgium, nchi inayosifika kwa utengenezaji wa beer bora duniani ni Germany, Twende pamoja sasa, bwew Masters wa Serengeti ni Wajerumani na serengeti beer inatengezwa kwa kiwango na techologia ya Kijerumani vilevile wanaye brew master kutika belgium anayesimamia ubora wa Stella beer, hawa jamaa wako vizuri.

Management:-
Director-Muhindi from India
Director of Marketing - Muhindi from India
Director of Sales - Muhindi from India
Marketing Manager - Muhindi from India
Sales Manager - Muhindi from India

Serengeti ni beer nzuri, haina sukari, lakini sisi kama watanzania tunajivunia nini na beer hii ya serengeti.

Mmiliki wa Serengeti ndiyo yule yule mmiliki wa Bank M na ZEN advertising, huyu jamaa hela ya kuanzishia serengeti mmajua ilipotoka........, wapiga kura bana.

Tuendelee.

MJ

Hapa tunazungumzia umaridadi wa serengeti ukilinganisha na maextinguishers mengine ya TBL. Siyo mmiliki wala uongozi. Kalaghabaho!
 
Mmiliki wa Serengeti ndiyo yule yule mmiliki wa Bank M na ZEN advertising, huyu jamaa hela ya kuanzishia serengeti mmajua ilipotoka........, wapiga kura bana.

Mmiliki wa TBL ni nani? .... wapigiwa kura bana!
 
Nchi yenye beer nyingi na zenye kiwango ni Belgium, nchi inayosifika kwa utengenezaji wa beer bora duniani ni Germany, Twende pamoja sasa, bwew Masters wa Serengeti ni Wajerumani na serengeti beer inatengezwa kwa kiwango na techologia ya Kijerumani vilevile wanaye brew master kutika belgium anayesimamia ubora wa Stella beer, hawa jamaa wako vizuri.

Management:-
Director-Muhindi from India
Director of Marketing - Muhindi from India
Director of Sales - Muhindi from India
Marketing Manager - Muhindi from India
Sales Manager - Muhindi from India

Serengeti ni beer nzuri, haina sukari, lakini sisi kama watanzania tunajivunia nini na beer hii ya serengeti.

Mmiliki wa Serengeti ndiyo yule yule mmiliki wa Bank M na ZEN advertising, huyu jamaa hela ya kuanzishia serengeti mmajua ilipotoka........, wapiga kura bana.

Tuendelee.

MJ


Na uitupe line yako ya VODa make yupo Rost Tamu ya Aziz kule. Huache kutumia umeme make boss ni fisadi na unapatikana kifisadi, Richmond, Dowans, IPTL, you mention it! Vipi mavazi na vitu unavyotumia, Are they locally Made? Hata mmasai shanga zinakuwa imported! Usituletee habari za darasa la VIIB hapa, kufaulu hadi shule ya kata iwepo!
 
Na uitupe line yako ya VODa make yupo Rost Tamu ya Aziz kule. Huache kutumia umeme make boss ni fisadi na unapatikana kifisadi, Richmond, Dowans, IPTL, you mention it! Vipi mavazi na vitu unavyotumia, Are they locally Made? Hata mmasai shanga zinakuwa imported! Usituletee habari za darasa la VIIB hapa, kufaulu hadi shule ya kata iwepo!

Soma tena ulichoandika, halafu soma tena.

Wapiga kura...

MJ
 
Soma tena ulichoandika, halafu soma tena.

Wapiga kura...

MJ

Kweli uko std VIIB manake hujaelewa kitu pale. Usijali, sekondari za kata zipo nyingi utafaulu. Endelea kusoma marambilimbili, utaelewa tu.
 
tabu ya nn jamani, waacheni wajiuwe wenyewe. km wanampa mny baa pesa, hiyo itakula kwao na kwa mwenye bar, mm km shida yangu senrengeti najua wapi inapatikana ya kuogelea! nna shida gan kwenda kwny bar ya ''TBL''!!? mwisho mauzo ya bia za tbl yatashuka na mwenye bar atapoteza wateja bila kujua......! karagabaho
 
Hapa tunazungumzia umaridadi wa serengeti ukilinganisha na maextinguishers mengine ya TBL. Siyo mmiliki wala uongozi. Kalaghabaho!

As a Tanzanian wht do you gain from Serengeti beer/Serenget Brew, jamaa kakuonyesha kwamba the whole management team is Asian...sasa watanzania kazi yao nini pale Serengeti...kubeba crate za beer au?..

And is true the owner of Serengeti is Asian and he's is not investing in Tz,

TBL iko kwenye Stock Market Nenda pale Samora kanunue TBL, serengeti haipo kwenye stock market.

Keep it low if ya dont know.
 
Back
Top Bottom