Kaka nina kaugonjwa kakusahau kidogo! Huu ubeti ni ule wa AKUDO ama tangazo jipya la chui. Ila tuache utani Chui anafunika mkUU!
Tangazo jipya mkuu. Hapa nilipo koo linakwaruza. Nikitoka hapa breki ya kwanza kaunta. Raha yake umimine chupa nzima kwenye glasi kubwa wakati unaigida mhudumu anakuwa njiani analeta nyingine. Serengeti, achana nayo mkuu. Ni kitu kingine kabisa. Hakilinganishwi na kingine.
Nasikia bia ya ndovu ni uzuri wa mkakasi tu, wameongeza alch kutoka 4.2 to 4.8
juu ya hapo wakaipunguza content kutoka 500ml kuwa 375ml,afu wameweka urembo wa dhahabu hivi kuizungushia chupa kwa juu hadi kwenye kizibo,yaani wameharibu,ngoja leo nitest ka serengeti
juu ya hapo wakaipunguza content kutoka 500ml kuwa 375ml,afu wameweka urembo wa dhahabu hivi kuizungushia chupa kwa juu hadi kwenye kizibo,yaani wameharibu,ngoja leo nitest ka serengeti
Kuna mbinu nyingi za marketing, lakini hii hapa ni mbinu chafu na ya kipumbavu!
Kwanini wasitafute tu mazingira yatakayofanya wauze products zao kirahisi, kuliko kumzuia muuzaji asiuze?
Kwa wanywaji wasiobadili misimamo yao ya unywaji wataitafuta bia hiyo hadi waipate, hata kama itawagharimu kutoka Sanawari hadi kwa Morombo!
Grrrrrrrr! Usituletee habari ya extinguishers!
Mh... mmejaribu kuongea ok Lakini CASTLE LAGER Usipime NI TAAAMU HIYOOOOOOOOO JARIBU UONEE.
Mh... mmejaribu kuongea ok Lakini CASTLE LAGER Usipime NI TAAAMU HIYOOOOOOOOO JARIBU UONEE.
Nchi yenye beer nyingi na zenye kiwango ni Belgium, nchi inayosifika kwa utengenezaji wa beer bora duniani ni Germany, Twende pamoja sasa, bwew Masters wa Serengeti ni Wajerumani na serengeti beer inatengezwa kwa kiwango na techologia ya Kijerumani vilevile wanaye brew master kutika belgium anayesimamia ubora wa Stella beer, hawa jamaa wako vizuri.
Management:-
Director-Muhindi from India
Director of Marketing - Muhindi from India
Director of Sales - Muhindi from India
Marketing Manager - Muhindi from India
Sales Manager - Muhindi from India
Serengeti ni beer nzuri, haina sukari, lakini sisi kama watanzania tunajivunia nini na beer hii ya serengeti.
Mmiliki wa Serengeti ndiyo yule yule mmiliki wa Bank M na ZEN advertising, huyu jamaa hela ya kuanzishia serengeti mmajua ilipotoka........, wapiga kura bana.
Tuendelee.
MJ
Mmiliki wa Serengeti ndiyo yule yule mmiliki wa Bank M na ZEN advertising, huyu jamaa hela ya kuanzishia serengeti mmajua ilipotoka........, wapiga kura bana.
Nchi yenye beer nyingi na zenye kiwango ni Belgium, nchi inayosifika kwa utengenezaji wa beer bora duniani ni Germany, Twende pamoja sasa, bwew Masters wa Serengeti ni Wajerumani na serengeti beer inatengezwa kwa kiwango na techologia ya Kijerumani vilevile wanaye brew master kutika belgium anayesimamia ubora wa Stella beer, hawa jamaa wako vizuri.
Management:-
Director-Muhindi from India
Director of Marketing - Muhindi from India
Director of Sales - Muhindi from India
Marketing Manager - Muhindi from India
Sales Manager - Muhindi from India
Serengeti ni beer nzuri, haina sukari, lakini sisi kama watanzania tunajivunia nini na beer hii ya serengeti.
Mmiliki wa Serengeti ndiyo yule yule mmiliki wa Bank M na ZEN advertising, huyu jamaa hela ya kuanzishia serengeti mmajua ilipotoka........, wapiga kura bana.
Tuendelee.
MJ
Na uitupe line yako ya VODa make yupo Rost Tamu ya Aziz kule. Huache kutumia umeme make boss ni fisadi na unapatikana kifisadi, Richmond, Dowans, IPTL, you mention it! Vipi mavazi na vitu unavyotumia, Are they locally Made? Hata mmasai shanga zinakuwa imported! Usituletee habari za darasa la VIIB hapa, kufaulu hadi shule ya kata iwepo!
Soma tena ulichoandika, halafu soma tena.
Wapiga kura...
MJ
Soma tena ulichoandika, halafu soma tena.
Wapiga kura...
MJ
Hapa tunazungumzia umaridadi wa serengeti ukilinganisha na maextinguishers mengine ya TBL. Siyo mmiliki wala uongozi. Kalaghabaho!