TBL na Serengeti Bia


Mkuu Susuviri,

Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba serikali tayari wanataarifa ya kinachoendelea na kuna timu kutoka fair competition commission iko mtaani kukusanya data. Tusubiri baada ya muda kidogo, kuna kitu kitalipuka dhidi ya TBL.

Tiba
 
Mkuu Susuviri,

Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba serikali tayari wanataarifa ya kinachoendelea na kuna timu kutoka fair competition commission iko mtaani kukusanya data. Tusubiri baada ya muda kidogo, kuna kitu kitalipuka dhidi ya TBL.

Tiba


Mkuu TIBA, una maanisha wazee wa kazi PCCB/FCC wako mzigoni na any time TBL wataipata fresh??????
 
Unajua mchango wa TBL katika uchumi wa TZ,?..check na Revenue office.

Too childish!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kwa hiyo nikiwa mfanyabiashara jambazi but am a good taxpayer, ni poa tu? Vp bwana Mambo Jambo, unatafuta nini huku JF, the home of Great Thinkers????????????
 
Unajua mchango wa TBL katika uchumi wa TZ,?..check na Revenue office.


Be serious man!
Regardless ya mchango wao katika uchumi kupitia kodi wanazolipa, haitakuwa sawa wala haki kwa wao kuua viwanda vingine na kuwakosesha ajira maelfu ya Watanzania walioajiriwa na SBL.
Kamwe biashara halali haiendi hivyo. Enzi za ukiritimba zimeshapitwa na wakati!
 
Too childish!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kwa hiyo nikiwa mfanyabiashara jambazi but am a good taxpayer, ni poa tu? Vp bwana Mambo Jambo, unatafuta nini huku JF, the home of Great Thinkers????????????

Hakikisha/Thibitisha kwamba TBL ni majambazi, miss/mr great thinker
 
Hakikisha/Thibitisha kwamba TBL ni majambazi, miss/mr great thinker

My friend, I was just giving you an example that if somebody becomes unethical, does it mean that tumvumilie simply because he is a good/No. 1 Taxpayer?
 
Unajua mchango wa TBL katika uchumi wa TZ,?..check na Revenue office.

Mkuu Mambo Jambo,

Hata SBL wanachangia uchumi vile vile kwani wanalipa kodi za mapato na VAT kama kawaida!!!! Na hiyo haipashwi kuwa sababu ya TBL kuachwa watumie mbinu chafu za biashara!!

Tiba
 
Baada ya Mmiliki wa Bar iitwayo HILL GARDEN SINZA MORI,kukataa kuacha kuuza bia za Serengeti Breweries hatimaye Bendi iliyokuwa inapiga buree!kila jumapili katika kiota hicho maarufu ya Ya Capitale-King Kiki Bara Africa Moto-Wazee sugu waliokubuhu wamehamishiwa na wadhamini wao TBL na kupelekwa MEEDA BAR SINZA MORI, ambapo hakuna Chui. Imekaaje hii...
 
AAAAAha, kumbe ndiyo maana hata pale Blue View karibu na Airport hakuna CVhuiChui!!!!!!!!!!!
Kwakweli hii haifai na wenye mabaa wawe makini wanaweza ua biashara zao kabsaaaaaaaa.
 


Vipi kuna data yoyote?
 

unataka data gani wewe? kwanza ningejua umri wako ingekuwa vyema usikute tunajadili udrink na under 18! kaulize wanywaji kama SBL 2yrs back walikuwa wanauza kama leo,au kama TBL 2yrs back walikuwa na kiwewe na chui kama ilivyo leo,that means wanatingishana sokoni! au wewe minja nini?
 
unataka data gani wewe? kwanza ningejua umri wako ingekuwa vyema usikute tunajadili udrink na under 18! kaulize wanywaji kama SBL 2yrs back walikuwa wanauza kama leo,au kama TBL 2yrs back walikuwa na kiwewe na chui kama ilivyo leo,that means wanatingishana sokoni! au wewe minja nini?[/QUOTE]

Nimeipenda signature yako kaka! Hivi una taarifa kwamba akina Minja wapepoteza kabisa wateja wa Ndovu Lager baada ya kuipiga vipodozi kibao, kupunguza size eti washindane na chui na heineken na kuongeza kilevi. Wadau wanalalamika hang-over kwa sana na it is portable but not portable kwani si take away! Hii ni dalili tosha ya kufulia!
 
Ushindani wa namna hii kati ya TBL na SBL ni wa kipuuzi mno? Tangaza ubora wa bidhaa zako, and thats enough!Nadhani PEPSI na COCACOLA nao wana kamtindo kakishenzi namna hii.
 
QUOTE]Nimeipenda signature yako kaka! Hivi una taarifa kwamba akina Minja wapepoteza kabisa wateja wa Ndovu Lager baada ya kuipiga vipodozi kibao, kupunguza size eti washindane na chui na heineken na kuongeza kilevi. Wadau wanalalamika hang-over kwa sana na it is portable but not portable kwani si take away! Hii ni dalili tosha ya kufulia![/QUOTE]

Kamanda Mjariliamali ulikuwa wapi siku mbili tatu hizi? Tulikumisi madhabahuni.
 
Ushindani wa namna hii kati ya TBL na SBL ni wa kipuuzi mno? Tangaza ubora wa bidhaa zako, and thats enough!Nadhani PEPSI na COCACOLA nao wana kamtindo kakishenzi namna hii.

Habari za pepsi na cocacola peleka kwa watoto wenzako. Hapa makomredi tunazungumzia vinywaji vya watu wazima, alah!
 


kaka amini usiamini nilikuwa nabwia sana ndovu,ila hivi sasa since last week ninakula chui au tusker baridiii,kwani najua mda si mrefu tusker nayo itahamia SBL, watz wanaoishabikia ndovu ni km kawaida yetu, kitu kipya kinashabikiwa sana ila mda si mda itajikuta imebaki alone na kina minja.
 

Kamanda Mjariliamali ulikuwa wapi siku mbili tatu hizi? Tulikumisi madhabahuni.[/QUOTE]

Nipo cousin, nimerejea jamvini nilijifungia mahala na shemeji yako nikawa sitaki mawasiliano ya aina yoyote zaidi ya yeye na kelele za ndege!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…