Bravo,mada kama hizi ndio zinalifanya jukwaa hili liheshimiwe.Ukaguzi wa magari (imported) Sasa unafanyika nchini tofauti na mwanzoni. Sasa Hawa ndugu zetu wameamua kucheza na beat ili kuvuna. Inspection tests zinaandikwa"FAIL" ili ujiongeze, ukijidai Nunda yatakukumba ya Kwa msisi. Asanteni, ila mtafika mkiwa mmechoka sana
Kauli ya kijinga kutoka Kwa selule nambari wani dunianiNa wao wanafamilia ya kulisha, cha muhimu hapa TZ ukipata nafasi ya kupiga wewe Piga.
kula tano[emoji109]Na wao wanafamilia ya kulisha, cha muhimu hapa TZ ukipata nafasi ya kupiga wewe Piga.
Kauli ya kingese kutoka Kwa ngesem nambari wani duniani
Haya ndiyo mambo yamayofanya Prof Assad awaite watu mazuzu, yaani wazo la kiboya kweli kweli.Aliye leta huu mfumo sijui alikusudia nini. Kuna nchi zina wakaguzi waoJapan ambapo ndipo asilimia kubwa ya magari hutoka. Mfano Intertek Mozambique. Kama serikali ilikusudia kujipatia mapato makubwa ya ada za ukaguzi, basi wangepeleka wataalam wake huko waweke center zao za ukaguzi. Gari ikikaguliwa kulekule ika fail inspection mteja unakua na option ya kuchagua gari nyingine, ikikaguliwa hapa nchini ika fail inspection inakulazimu tuu utoe rushwa ili upewe gari yako
Sawa niko hospitali na mimi nina kitengo changu, hao jamaa wa bandarini wakija ili kupata tiba nachomoa figo au ini, ubaya ubaya tuu...kula tano[emoji109]