TBS Bandarini kichaka cha upigaji

TBS Bandarini kichaka cha upigaji

Ukaguzi wa magari (imported) Sasa unafanyika nchini tofauti na mwanzoni. Sasa Hawa ndugu zetu wameamua kucheza na beat ili kuvuna. Inspection tests (report) zinaandikwa"FAIL" ili ujiongeze, ukijidai Nunda yatakukumba ya Kwa msisi. Asanteni, ila mtafika mkiwa mmechoka sana
Kama mapato ya serikali yanaingia sawa hayo mengine ni yenu,,kwamba unalipa gharama za test,ikifeli mnaongea vizuri ikikubali bahati yako sio?
 
Mkuu umeeleza jujuu sana, kama unaweza kueleza vizuri kilichokukukuta vizuri, ili tujue tujipange na sisi..!! kwamba gari zote hata kama iko poa wanajaza fail?? kwamba wanajaza kwa hila??
 
Mkuu umeeleza jujuu sana, kama unaweza kueleza vizuri kilichokukukuta vizuri, ili tujue tujipange na sisi..!! kwamba gari zote hata kama iko poa wanajaza fail?? kwamba wanajaza kwa hila??
Used car nyingi Lazima uangukie pua sasa wazee wa kazi wanahitaji 'chai' wakupitishie!
 
Aliye leta huu mfumo sijui alikusudia nini. Kuna nchi zina wakaguzi waoJapan ambapo ndipo asilimia kubwa ya magari hutoka. Mfano Intertek Mozambique. Kama serikali ilikusudia kujipatia mapato makubwa ya ada za ukaguzi, basi wangepeleka wataalam wake huko waweke center zao za ukaguzi. Gari ikikaguliwa kulekule ika fail inspection mteja unakua na option ya kuchagua gari nyingine, ikikaguliwa hapa nchini ika fail inspection inakulazimu tuu utoe rushwa ili upewe gari yako
Wakaguzi ndio wanajitungia sheria
 
Ukaguzi wa magari (imported) Sasa unafanyika nchini tofauti na mwanzoni. Sasa Hawa ndugu zetu wameamua kucheza na beat ili kuvuna. Inspection tests (report) zinaandikwa"FAIL" ili ujiongeze, ukijidai Nunda yatakukumba ya Kwa msisi. Asanteni, ila mtafika mkiwa mmechoka sana
Wanazoa kwa kuzoa
 
Jamaa Wana pesa balaa. Fikiria idadi ya magari yanayoingia kila siku X 150,000 TZS. Hawa jamaa wanaweza hata kununua baadhi ya benki nchini au huko Congo DRC
 
Heko mama kwa kuwspiga full stop!!! Magari watengeneze wengine huko Ulaya halafu siye eti tuyakague huku kwetu kweli???
 
Ukaguzi wa magari (imported) Sasa unafanyika nchini tofauti na mwanzoni. Sasa Hawa ndugu zetu wameamua kucheza na beat ili kuvuna. Inspection tests (report) zinaandikwa"FAIL" ili ujiongeze, ukijidai Nunda yatakukumba ya Kwa msisi. Asanteni, ila mtafika mkiwa mmechoka sana
Wahuni Sanaa, Yani ni shida kwelikweli kwa waagizaji magari, gari imekauliwa Japan na imethibitika Iko vizuri na inasafirishwa, lakini ikifika nchini unaambiwa haifai? Shenzi Sana
 
Sasa itakuja DBS yaani Dubai Bureau of Standards 😄
 
Back
Top Bottom