TBS chunguzeni ubora wa hili gari unatia shaka

TBS chunguzeni ubora wa hili gari unatia shaka

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
16,054
Reaction score
11,568
1657386379147.png
 
Sijaelewa kabisa hii ajali labda mafundi wao waliacha bodi hovyo hovyo.
 
Wewe umejua hiyo gari ni 1HZ au V8? Umeisoma vyema statement yake?
Kweli mambo ya jeshi hayajadiliwi.tumeanza kupambana wenyewe kwa wenyewe raia tujuao magari wakati nao wanajeshi ni wanafamilia zetu sisi raia hivyo uzima wao kwetu ni muhimu.
 
Kwani ilitakiwa ikianguka picha iweje? Mi naona kawaida sijui ndo ushamba?
 
Back
Top Bottom