Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
To HellVp kuhusu dereva na abiria hali zao zikoje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
To HellVp kuhusu dereva na abiria hali zao zikoje
Magari wa mapoti na yale ya wasiojulikana mabovu sana
We ndo hujasoma vzr hapo juu,karudie tenaWewe umejua hiyo gari ni 1HZ au V8? Umeisoma vyema statement yake?
Uongo! Hiyo ingine yake ni 1HZ na ni six cylinder. Kwenye hiyo pick up hakuna chochote kinachohusiana na V8. IverV8 ni aina ya engine,sio aina ya gari...usikariri kwmba kila Land cruiser pick up ni 1HZ
Unaijua V8 kweli wewe au umeiona kwenye picha....Hili ni V8 mkuu,