Hili ni V8 mkuu,Ndo lile la Masoud Kipanya labda
Jwtz kigomaNdo lile la Masoud Kipanya labda
Yaani v8 imeanguka bodi kule chesis kule, sio kawaidaSijaelewa kabisa hii ajali labda mafundi wao waliacha bodi hovyo hovyo.
Mjue wanajeshi wana mama zaoMambo ya jeshi huwa hayajadiliwi🤣🤣 dereva wa hilo gari alipaswa awe korokoroni
Hili ni V8 mkuu,
mbona inaonekana ni kruza mkongeYaani v8 imeanguka bodi kule chesis kule, sio kawaida
V8 ni aina ya engine,sio aina ya gari...usikariri kwmba kila Land cruiser pick up ni 1HZUnayajua magari kweli?
Wewe umejua hiyo gari ni 1HZ au V8? Umeisoma vyema statement yake?V8 ni aina ya engine,sio aina ya gari...usikariri kwmba kila Land cruiser pick up ni 1HZ
Kweli mambo ya jeshi hayajadiliwi.tumeanza kupambana wenyewe kwa wenyewe raia tujuao magari wakati nao wanajeshi ni wanafamilia zetu sisi raia hivyo uzima wao kwetu ni muhimu.Wewe umejua hiyo gari ni 1HZ au V8? Umeisoma vyema statement yake?