Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
Ngoja tusubirie rea awamu ya tano kwanzaNi wito wangu kwa shirika la TBS kufuatilia na kuja na majibu iwapo hizi bulb za umeme zinaoonekana kutengenezwa China na zinasambazwa nchini kama zimekaguliwa ubora wake.
Ziko hizi bulb zilizo na jina la BLUEBAY za 60/watts ambazo nimenunua mara tatu lakini kila moja Haitumiki zaidi ya siku tatu inakuwa imeungua.
Ubora wa bulb hizi unatia mashaka. TBS fuatilieni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli hili nalo lipo,mimi nilikuwa nanunua bulb ikawa ikikaa masaa 2 au matatu inaungua nilipofuatilia nikagundua kuwa shida ilikuwa kwenye holder,ilikuwa inatoa cheche ila ni lazima utulie sana ndio utagundua.Solution kama hilo ndio tatizo ng'oa na kuweka mpya....Kabla hujalaumu bulb mkuu check kwanza hyo bulb holder yako.
Mara nyingi matatizo ya kuungua kwa bulb husababishwa na ubovu/ukongwe wa holder.