NSHOMA FRANCOUS
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 698
- 325
JPM tutumbulie hawa watu..wanyonge tunapa tabu sana,kuna vifaa feki vinaingia ,kwa mfano hivi sijui wanaviita burners vya majiko ya gesi madogo ,ni feki sana!wameleta feki vinaharibika mapema na sokoni vimemwagwa vingiii ili tununue in routine basis..huu ni utapeli wa wazi kabsa.TBS mmelala usingizi tena wa pono.