TBS & TCRA ni lini mtaanza kuangalia ubora wa VOCHA ZA SIMU?

TBS & TCRA ni lini mtaanza kuangalia ubora wa VOCHA ZA SIMU?

trplmike

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
701
Reaction score
777
Juzi nilikuwa kwenye dula moja la hapa jijini, akaja mteja mmoja akilalamika juu ya vocha yake ya sh 500 ya Airtel imekwanguliwa vibaya, Mwenye duka akamwambia hana jinsi inabidi jamaa aipeleke Airtel Shop yeyote iliyopo karibu,
Ukweli nimegundua vocha za simu za Airtel quality yake ni ya chini sana, sijui ni kwanini TBS au TCRA kwenye huu upande huwa hawaangalii
 
Dula ndo nn? Hamia airtel! Scratch gently!
 
Hapo umenena mkuu,hata mimi nimeshaingizwa sana hasara na hawa Airtel.Wanashindwa kuiga wenzao, kinachokera zaidi hizo zinazojiita mamlaka za udhibiti zimelala!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Njia rahisi ni kununua au kuongeza salio kwa tigo pesa, mpesa n.k. Unakuwa umeachana na mambo ya vocha.
 
za tigo namba ndogo sana kama macho yana matatizo kidogo huoni kitu
 
AIsee Kama wameshindwa kuthibiti Kondomu na wale TFDA wakashindwa kuthibiti ARV kwa wale ambao walitumia Kondomu feki wakapata maambukizi, we mkuu unadhani kwenye vocha za simu wataweza ??
 
Back
Top Bottom