Hahahah we unajifanya mjanja mjanja sana skuhizi. πππ[emoji23][emoji23][emoji23] kweli sijaliwa, ningeliwa ningesema bro
Hahahah we unajifanya mjanja mjanja sana skuhizi. [emoji3][emoji3][emoji3]
Unabisha eehπ€£[emoji23][emoji23][emoji23] sio sana
Yess nna standards zangu, huwa sitoki nje ya hizo, lazima ni maintain status bhana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Safi.....
Mtu lazima uwe na standards
Vijana mna gubuMzee mshenzi wewe π
Unabisha eeh[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu nimekumbukaaa kituu, wacha nichekee, ila mizagamuo ina mengi wallah. MweeeehDume ndio lililokuwa linaugulia, liliniboa nilitamani nimzabe kofi. Mimi nilitegemea shost angu ndiye angeulilia nijue km show kali niwajoin [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sitasahau nilipoachiwa nyumba ya kilokole nikatembelewa na Kemi wangu, aiseee ilikuwa aibu sana wenyeji wanakuta nimeanika godoro, eti limemwagikiwa maji.
Sawa binti yangu naondoka ila nasikitika mikopo tuliyowakopesha chuoni 100% hamutorudisha.Mnawazia kula tunda kimasΓhara na kugongea maghetoMzee nenda wenzio wanajadili jinsi ya kwenda kuvunja mkataba huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu nimekumbukaaa kituu, wacha nichekee, ila mizagamuo ina mengi wallah. Mweeeeh
Kipindi nipo first year chuo UD, nilikua na mshkaji wangu ambae yeye hakuwa anasoma, alikua na mishe zake zingine.
Alikua amepanga nyumba nzuri tu knyama, hapo ndio ilikua machinjio ya mademu wa chuo na wengine. Walikua wananipenda sana
First year niliishi mabibo hostel block E. Kama ntakumbuka room ilikua 32000 semister ya kwanza, semister ya pili 40000
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wala baby wangu, si unajua everyone has a pastKwahiyo umekuja kulipiza [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] mtundu sana weweFumba macho usisome vitu km hivi tutaachana [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa binti yangu naondoka ila nasikitika mikopo tuliyowakopesha chuoni 100% hamutorudisha.Mnawazia kula tunda kimasΓhara na kugongea magheto
Wala baby wangu, si unajua everyone has a past
Wewe binti ummevurugwa π€£π€£π€£ unataka kuniharibia kwa bibi yakoSawa mzee tukutane ukistaafu tukusaidie kukunyumbulishia mihamala ya pension