Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
File kubwa, but nitajitahidi nikupatieZote
Hakuna uongo hapo, kamuulize Roma kwa nini alikua anamuogopa sana Nikki wa pili[emoji23][emoji23][emoji23] Kantri hebu acha kutufanya watoto
Kuhusu mke[emoji848], hapo tusizungumzie ni personalJoh anajua namkubali sana hivi ana mke? Ukizingua nikajiweke kwa Joh [emoji23][emoji23]
File kubwa, but nitajitahidi nikupatie
Hakuna uongo hapo
Kuhusu mke[emoji848], hapo tusizungumzie ni personal
Naanzaje kuzingua kwako, nimefika kigoma mwisho wa reli
Uduguu akimbie? Atakua majukwa mengineUkiongea hivyo kuna hisia unaziamsha [emoji3059][emoji3059]
Tuondoke uduguu katukimbia [emoji23][emoji23]
Uduguu akimbie? Atakua majukwa mengine
Huwa halali mida hii, huyo mpaka saa 9[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au anatusoma kisha anacheka peke yake
Huwa halali mida hii, huyo mpaka saa 9
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] CW wako hajambo kwa kweli.Tuendelee anapiga doria [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hajakuambiaaa??Hivi wana undugu? Mbona hamsemi jamani km Joh shem [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu tuliaa kwaniii, eti unasemaa??Hivi na yule mdogo wake Nikk nae anachana?!!
[emoji23][emoji23]
Ana ngoma yake ”UMEKAAJE” naielewa uduguu wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] CW wako hajambo kwa kweli.
Perfect comboSio bro wangu. Kwenye ukweli lazima tuseme, bongo hakuna kama Joh
Sio don't bother tu
Karudie tena kusikiliza hizi alafu njoo hapa;
Hakuna bongo artist anaweza tunga hizo nyimbo
- Stimu Zimelipiwa
- Karibu Tena
- Kilimanjaro
- Nikumbatie
- Manuva
- Bye bye
- I see me
- Wawiwo
- Perfect combo
- Waya
- kata leta feat davido
Muulize Davido who's Joh?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hajakuambiaaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann lakiniii???Sana, Kuna kipindi wajinga wachache walianza kusema Joh anaandikiwa mistari na Nick
Nick ni genius kwenye uandishi na flow. My second best after Joh
Taaluma, siasa na uongozi vimefanya muziki ukae pembeni kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu tuliaa kwaniii, eti unasemaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nimechekaaa hadi machoziii, usingizii umeishaaa wallah, CW wako ananipa raha mnooo.[emoji23][emoji23][emoji23] Kantri hebu acha kutufanya watoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewee, khaaaahHakuna uongo hapo, kamuulize Roma kwa nini alikua anamuogopa sana Nikki wa pili