TBT enzi za chuo kikuu

Joh anajua namkubali sana hivi ana mke? Ukizingua nikajiweke kwa Joh [emoji23][emoji23]
Kuhusu mke[emoji848], hapo tusizungumzie ni personal

Naanzaje kuzingua kwako, nimefika kigoma mwisho wa reli
 
Kuhusu mke[emoji848], hapo tusizungumzie ni personal

Naanzaje kuzingua kwako, nimefika kigoma mwisho wa reli

Ukiongea hivyo kuna hisia unaziamsha [emoji3059][emoji3059]
Tuondoke uduguu katukimbia [emoji23][emoji23]
 
Hivi na yule mdogo wake Nikk nae anachana?!!
[emoji23][emoji23]
Ana ngoma yake ”UMEKAAJE” naielewa uduguu wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu tuliaa kwaniii, eti unasemaa??
 
Perfect combo
Kata leta
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Sana, Kuna kipindi wajinga wachache walianza kusema Joh anaandikiwa mistari na Nick

Nick ni genius kwenye uandishi na flow. My second best after Joh

Taaluma, siasa na uongozi vimefanya muziki ukae pembeni kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann lakiniii???
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kantri hebu acha kutufanya watoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nimechekaaa hadi machoziii, usingizii umeishaaa wallah, CW wako ananipa raha mnooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…