TBT: How Nas exposed himself through Ether

Mtu wa Tandale huku Africa kwetu anajifanya wa Brooklyn USA unaonekana katuni tu...hebu stop being cocky,u look stupid

Hahaha smh. Hasira hazisaidii bro, jifunze lugha, jifunze muziki, mambo ya vijiweni achana nayo
 
Lakini kwa nn nas alizidiwa ki mafanikio na jay z wat was a set back point

'I've been fucked over, left for dead, dissed and forgotten /
Luck ran out, they hoped that I'd be gone, stiff and rotten /'
 
Mtu wa Tandale huku Africa kwetu anajifanya wa Brooklyn USA unaonekana katuni tu...hebu stop being cocky,u look stupid
huyu dogo anaboa mbaya na kiingereza chake cha kuangalia muvi SMH yaani unajua kichwani mweupe hadi anaboa aisee
 
Hahaha smh. Hasira hazisaidii bro, jifunze lugha, jifunze muziki, mambo ya vijiweni achana nayo

Duh,I rest my case...

Na wewe nae ndio unajua lugha mpaka unafikia kudharau wenzio?U look silly....

You are an African from Africa,your accent is fake...hivi unajua siku unafungua mdomo kuongea na African Americans they will just feel sorry for u?

Acha vichekesho wewe....ulishakaa USA mtaani kabisa for how long,au ulipita tu?Hebu waachie wenye accent yao,stop being delusional and silly aisee.
 
'I've been fucked over, left for dead, dissed and forgotten /
Luck ran out, they hoped that I'd be gone, stiff and rotten /'
ona sasa fuatilia historia dogo unajua kisa cha NAS kuandika ether jay z alikua anamdiss more than 2 tracks wakati nas anamtunza mama yake alikua na cancer tatizo mitoto ya siku hizi inakurupuka hachelewi kukwambia soja boy ni mzuri kuliko K-DOT
 
ona sasa fuatilia historia dogo unajua kisa cha NAS kuandika ether jay z alikua anamdiss more than 2 tracks wakati nas anamtunza mama yake alikua na cancer tatizo mitoto ya siku hizi inakurupuka hachelewi kukwambia soja boy ni mzuri kuliko K-DOT

Jamaa amenichekesha na lafudhi ya kuiga ya African Americans wakati tupo nae hapa mavumbini.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh,I rest my case...

Na wewe nae ndio unajua lugha mpaka unafikia kudharau wenzio?U look silly....

Nikikudharau, nakupuuza. Nachofanya kwako ni kukusaidia bro. Nakuambia ujifunze lugha, kwa sababu ni wazi huelewi topic na unanitoa nje ya mstari kwa vitu ambavyo sijui unavitoa wapi. Mada inamzungumzia Nas alivyochemka kwenye ether, we unaeta masuala ya hela na mafanikio ya Jay-Z, vitu ambavyo wala sijavigusa.

Nimeandika mwanzo kabisa kuwa naunga mkono wanaosema Jay-Z alishindwa kwenye hiyo battle, na pia nakubali kuwa ether ilichangia hilo, japo kwa kiasi fulani, ila nadhani lugha ndio kikwazo ndiyo maana nikakushauri ujifunze kwanza ndiyo uje kujadili/kubishana.



Oh boy!

Unaijua vipi accent yangu ikiwa hujawahi kunisikia popote, wala hunijui?? Nadhani ulimaanisha tone, kumbuka usemi 'when in Rome, act Roman'; it's a rap topic, I talk rap, don't sweat the technique. Msikilize pia Tim Westwood hapa chini, unaweza kujifunza kitu kuhusu hilo.



 
Jamaa amenichekesha na lafudhi ya kuiga ya African Americans wakati tupo nae hapa mavumbini.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Pia acha unafiki bro, nani alitumia account yako hapa chini?? Au hiyo pia ni lafudhi ya mavumbini ulipo??

Mkuu are u on drugs?...How do u disrespect a legendary diss song of all time like "Ether"?

He murdered Jay-Z,he is freaking Jay-Z..not some Nicki Minaj candy ass rapper...

Shether over Ether?U must be on a hell of hard drugz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…